makubwa, madogo yana nafuu,
WaTZ dawa yetu nini? hata kujua uongo na ukweli inakuwa shida, hakuna tunayemwamini, sasa kwa mfano hii habari imekaa kimiujiza, tiuamini?
Inawezekana kweli kuwa wamekufa? inawezekana mtu mzima kuzusha haya mambo?
Hivi kweli Makamu wa Rais wa Mkapa aletangulia mbele ya sheria, naye pia??? .......... tuweke ????????? manake asijekuwa alijidai kuleta masimamo? wakati watu wanachota vyao.