murra wa marwa
Senior Member
- Apr 24, 2008
- 150
- 2
HABARI NDIYO HIYO
fAMILIA YA MBUNGE WA BARIADI MH. ANDREW CHENGE IMEKANUSHA UVUMI ULIOENEA KILA MAHALI KWAMBA WAZIRI HUYO WA ZAMANI WA MIUNDOMBINU KABWIA SUMU NA KUFA.
MAI WAIFU WA MH. CHENGE, MAMA TINA CHENGE (AKIWA NA MUMEWE PICHANI) , AMELONGA NA GLOBU HII DAKIKA CHACHE ZILIZOPITA NA KUSEMA KWAMBA HABARI HIZO AMBAZO HATA YEYE AMEANZA KUZISIKIA TOKA JANA KWA KUPIGIWA SIMU KILA DAKIKA KUPEWA POLE SI ZA KWELI NA KWAMBA MAI HAZBENDI WAKE YUPO HAI NA ANAENDELEA NA SHUGHULI ZAKE ZA KILA SIKU KAMA KAWAIDA.
NAOMBA KUWASILISHA, HABARI NDIO HIYO...
"MZEE YUPO DAR NA YU BUHERI WA AFYA NA LEO KENDA MJINI KWENYE SHUGHULI ZAKE" AMESEMA MAMA CHENGE.
umeicopy kwa michuzi- muacknowledge basi.