Tetesi : CHENGE ANYWA SUMU??!

Tetesi : CHENGE ANYWA SUMU??!

Status
Not open for further replies.
HABARI NDIYO HIYO

fAMILIA YA MBUNGE WA BARIADI MH. ANDREW CHENGE IMEKANUSHA UVUMI ULIOENEA KILA MAHALI KWAMBA WAZIRI HUYO WA ZAMANI WA MIUNDOMBINU KABWIA SUMU NA KUFA.


MAI WAIFU WA MH. CHENGE, MAMA TINA CHENGE (AKIWA NA MUMEWE PICHANI) , AMELONGA NA GLOBU HII DAKIKA CHACHE ZILIZOPITA NA KUSEMA KWAMBA HABARI HIZO AMBAZO HATA YEYE AMEANZA KUZISIKIA TOKA JANA KWA KUPIGIWA SIMU KILA DAKIKA KUPEWA POLE SI ZA KWELI NA KWAMBA MAI HAZBENDI WAKE YUPO HAI NA ANAENDELEA NA SHUGHULI ZAKE ZA KILA SIKU KAMA KAWAIDA.


NAOMBA KUWASILISHA, HABARI NDIO HIYO...



"MZEE YUPO DAR NA YU BUHERI WA AFYA NA LEO KENDA MJINI KWENYE SHUGHULI ZAKE" AMESEMA MAMA CHENGE.


umeicopy kwa michuzi- muacknowledge basi.
 
fAMILIA YA MBUNGE WA BARIADI MH. ANDREW CHENGE IMEKANUSHA UVUMI ULIOENEA KILA MAHALI KWAMBA WAZIRI HUYO WA ZAMANI WA MIUNDOMBINU KABWIA SUMU NA KUFA.


MAI WAIFU WA MH. CHENGE, MAMA TINA CHENGE (AKIWA NA MUMEWE PICHANI) , AMELONGA NA GLOBU HII DAKIKA CHACHE ZILIZOPITA NA KUSEMA KWAMBA HABARI HIZO AMBAZO HATA YEYE AMEANZA KUZISIKIA TOKA JANA KWA KUPIGIWA SIMU KILA DAKIKA KUPEWA POLE SI ZA KWELI NA KWAMBA MAI HAZBENDI WAKE YUPO HAI NA ANAENDELEA NA SHUGHULI ZAKE ZA KILA SIKU KAMA KAWAIDA.

NAOMBA KUWASILISHA, HABARI NDIO HIYO...

sOURCE: issa michuzi blospot
 
Baada ya kimya kirefu kutokana na kashfa ya Radar aliyekuwa waziri Mh Andrew Chenge ameripotiwa kufariki dunia lakini bado haijajulikana amefariki kwa sababu gani haswa habari hizi zilianza kuvuma toka jana mchana usiku na mpaka leo mchana huu

Wanahabari wengi na waandishi wengi wa blogu walioulizwa walishindwa kuongea chochote kuhusu habari hii wengine wakasema wanatuma wanahabari wao kwenda katika sehemu husika ili kupata habari

Lakini ndugu zake wamekanusha habari hizo soma ujumbe hapo juu uliotoka kwa ndugu wa karibu wa mh change bila kutoa habari zozote zile .

Mchana mwema
 
PROPAGANDA ZA MITANDAO

Mwaka jana niliwahi kuandika makala moja kuhusu propaganda za mitandao katika makala hiyo niliongelea kidogo kuhusu baadhi ya watu kwa kusukumwa na ushabiki wao wa kitu fulani , uhuni wao tu , ugonjwa tu , na matatizo yao mengine mbali mbali waliyonayo wanaamua kukaa katika computer zao na kuanza kuandika na kusambaza habari mbaya kuhusu watu wengine , vikundi au kampuni za wengine kwa makusudi kabisa bila kuwa na udhibitisho na habari hizo .

Watu hawa wana blogu wengine ni maarufu katika forum za watanzania na wengine wanaaminika sana kiasi kwamba wakisema chochote kwa manufaa yao basi watu wote huwafuata wao na kusikiliza kile wao wanachosema hata kama sio kwa masilahi ya taifa hili tukufu la Tanzania .

Wananchi wanaosoma blogu hizi , forum hizi na aina nyingi ya vipeperusi wawe makini sana na matangazo yao , watu hawa hawana nia njema kwa maisha ya watanzania walio wengi , wanaharifu fani ya habari na taaluma yake kwa ujumla na ndio maana wanatumia majini tofauti tofauti kujitetea au kuhalalisha hizo habari zao .

Ni kweli mtandao hauna mipaka , kabila dini wala chama lakini wengi wao wanaonekana kuishushia hadhi serikali ya tanzania , baadhi ya viongozi wa serikali pamoja na chama tawala chama cha mapinduzi kwa propaganda zao ambazo hazina masilahi yoyote

Tunaheshimu uhuru wa mtu kusema au kuandika chochote katika mtandao lakini mtu anapofikia kutuma habari za uwongo zinazochochea vurugu na fujo nyingine katika jamii mtu au kundi hilo la watu hatutalivumilia wala kulikalia kimya

Watatafutwa na kufikichwa katika vyombo vya sheria ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama hizi za kusambaza habari za uwongo , chuki na visasi
 
Moderator, Tafadhari naomba hii topic ifutwe kabisa kwenye hii forum na wahusika wa udaku huu wafungiwe kwa siku tatu. Naomba kutoa hoja!!!!
 
Mijitu kama hii ni bora tu itangulie.Yes,mimi ni binadamu lakini sina huruma na watu ambao kwa ubinafsi wao wa kifisadi wanasababisha vifo vya watanzania.Tujiulize,kama hivyo vijisenti vingekua invested kwenye sekta ya afya,tungeweza kuokoa vifo vya akina mama na watoto wangapi visivyo vya lazima?

Leo hii bado UDSM kuna mgogoro ambao kiini chake ni tatizo la maji.Je,billioni moja isingesaidia?

Ni vijana wangapi wanakosa future hapo mlimani kutokana na kukosa mkopo kwenye bodi,je hivyo vijisenti visingesaidia?

Mimi wala sina huruma nae hata kidogo.Ila mbaya zaidi nasikia hana tatizo lolote ni mzima wa afya.Damn!
 
Hili la kunywa sumu! Na baadaye wakasema amekufa, ni uvumi tu jamani

Alika nahene.
 
Moderator, Tafadhari naomba hii topic ifutwe kabisa kwenye hii forum na wahusika wa udaku huu wafungiwe kwa siku tatu. Naomba kutoa hoja!!!!
Mr. Zero, Bearing in mind JF's motto of daring to talk openly , would you please give your reasons? Thank you !
 
Akifa na akaungulia akhera! Watanzania wengi wemeteseka nakufa kwa ajili ya uroho na wizi wake usio na kipimo...Na hizi alizo iba kuna njia ya kuzirudisha.
 
Topic hii japo ni controversial, lakini inaonekana kuvutia kwa kasi wanachama wapya kujiandikisha hapa jamvini.

NB: Sishabikii habari za uzushi.
 
asante sana kumbe sio mara ya kwanza kufanya hivi, na kwenye hiyo link nimepata kungámua kumbe kweli madai ya kuwa shy ni shushushu ni ya kweli shy@usalama.go.tz , mtu wa kumuogopa huyu hakawii kuku.....

Murra, Mang'ana Murra?,

Moderator naomba nilindwe. Kwakuwa Shy aka majina kibao kwenye posting zake nyingi ametaja jina lake la Yona Fare maro, labda kwa kutaka umaarufu au vinginevyo, naomba niweke mambo kadhaa wazi. Hii ni kwa ajili ya kutoa hofu watu hapa JF.

Yona ni kijana mdogo tu hata 30 yrs hajafika, ana struggle na maisha sana tu na mhangaikaji mzuri tu. Ni muajiriwa kama technician wa PC na related items, kama anavyosema yeye mwenyewe kituo chake cha kazi ni UDSM (sipendi kwenda in details)

Yona sio Mtumishi wa usalama wa Taifa kabisaaaaaa. Ni Yanki tu anayependa umaarufu. Kitu kimoja ninachomsifia ni upiganaji wa maisha, hajabweteka ingawa mzee Maro ana hela za kutosha na amejiwekeza kwenye nyumba za kupanga.

Kwahiyo eleweni hivyo, hata Ethinktank anazua utata kila mara, anachofanya ni post za hapa anapeleka kule na vice versa. Ni COPYCAT mzuri sana, na muigiliziaji sana ni mara chache sana anatoa maoni yake binafsi; mengi anacopy mahali.

Ni kijana anayekuwa, akikua ataacha.

Mod kama nimeboa unaweza kudelete.
 
Murra, Mang'ana Murra?,

Moderator naomba nilindwe. Kwakuwa Shy aka majina kibao kwenye posting zake nyingi ametaja jina lake la Yona Fare maro, labda kwa kutaka umaarufu au vinginevyo, naomba niweke mambo kadhaa wazi. Hii ni kwa ajili ya kutoa hofu watu hapa JF.

Yona ni kijana mdogo tu hata 30 yrs hajafika, ana struggle na maisha sana tu na mhangaikaji mzuri tu. Ni muajiriwa kama technician wa PC na related items, kama anavyosema yeye mwenyewe kituo chake cha kazi ni UDSM (sipendi kwenda in details)

Yona sio Mtumishi wa usalama wa Taifa kabisaaaaaa. Ni Yanki tu anayependa umaarufu. Kitu kimoja ninachomsifia ni upiganaji wa maisha, hajabweteka ingawa mzee Maro ana hela za kutosha na amejiwekeza kwenye nyumba za kupanga.

Kwahiyo eleweni hivyo, hata Ethinktank anazua utata kila mara, anachofanya ni post za hapa anapeleka kule na vice versa. Ni COPYCAT mzuri sana, na muigiliziaji sana ni mara chache sana anatoa maoni yake binafsi; mengi anacopy mahali.

Ni kijana anayekuwa, akikua ataacha.

Mod kama nimeboa unaweza kudelete.

FD si ndio yule yule Shy aka shy@usalama.go.tz. anajaribu kutuzuga kwa kujifagilia. Huyu jamaa ana majina meng kwenye JF. Msitukieni

Chenge afe asife sisi tunataka fedha zetu arudishe pamoja na zile za TanGold.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom