graduate wa Havard aliyeajiriwa na serikali ya jamhuri ya muungano wa TZ hawezi miliki fedha zote zile wewe.acha kutufanya sie mabwege.
and remember hizo fedha kazipata in near future(something smells fishy)
we kugraduate Havard ndio umeona Ticket to richness??then u r soo saddening
Ala hivi ndio unavyofikiri no wonder mna ufinyu wa mawazo. Ni wapi uliposoma kuwa kapata hizo hele hivi karibuni? jamani watanzania mna kazi
Dua, Icadon, Insurgent, kafara, Kakalende, kakindomaster, Mama, Mtindiowaubongo, mwanatanu, QM, Richard, siWA baRAFU, Susuviri,Zanaki
naona wote mko online
safi sana
ADMIN
Source wangu ameconfirm kuwa kuna UTATA kwenye hii habari...naomba uiwekeee question mark kwenye heading
bado niko kwenye simu na SOURCE wangu
WADAU NIWIENI RADHI KWA SASA lakini kila mwenye source aendelee kuangalia kwa undani zaidi
Umeingia leoleo na kuanza kusuta watu? Kwako ufisadi ndio kuwekeza? Unakuja vibaya ndugu, angalia vizuri!
and remember hizo fedha kazipata in near future
kwa nini asipeleke bank wakati yeye ni professional na kaiba professionally. Unajua wizi wake ulipokufikisha ndio maana umekuwa mkali namna hiyo, BTW ni fisadi na ni mwizi. Hata kama hajanywa sumu lkn alichokifanya kinamsumbua nafsini mwake na hata hizo pesa za wizi hana raha nazo. Mbona Mengi ni tajiri lakini hakuna anayemsema. Kama huyo vijisent kapata pesa zake halali kwa utumishi wake serikalini miaka 30, what about kina Kawawa, Warioba et al? kwa nini na wenyewe sio matajiri?
Take a break dayuuum... unajaza bandwidth na utumbo...alafu swallow a chill pill shawty!!!! Hot Dayuuuum!!!!
Kwa hiyo hasira yako ni kwa sababu chenge naye ana hela kama mengi au ni nini, kuwa mengi peke yake ndiye anapaswa kuwa na hela au ndio kawatuma kuwa mchafue wengine ambao wanataka kumsogelea. Sasa umenifunua akili nilikuwa najaribu kujua haya yote yanatokea wapi, Ala acheni kuwa vibaraka wa magazeti na ushabiki
Wakati mwingine bwana GT ni wa ajabu, lakini bado naheshimu michango yake...
Kwa hiyo hasira yako ni kwa sababu chenge naye ana hela kama mengi au ni nini, kuwa mengi peke yake ndiye anapaswa kuwa na hela au ndio kawatuma kuwa mchafue wengine ambao wanataka kumsogelea. Sasa umenifunua akili nilikuwa najaribu kujua haya yote yanatokea wapi, Ala acheni kuwa vibaraka wa magazeti na ushabiki
U should take a break dear ukweli unauma. I am here to stay katika kujaribu kuwaelimisha wapotoshaji kama nyie.
Huyu Gt mnayemuamini ndiye huyu anayeleta majungu maana habari ya kifo cha mtu si jambo mzaha alipaswa kuwa amelihakiki kweli kweli kabla ya kulitoa upo.
http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=12801Kwa hiyo hasira yako ni kwa sababu chenge naye ana hela kama mengi au ni nini, kuwa mengi peke yake ndiye anapaswa kuwa na hela au ndio kawatuma kuwa mchafue wengine ambao wanataka kumsogelea. Sasa umenifunua akili nilikuwa najaribu kujua haya yote yanatokea wapi, Ala acheni kuwa vibaraka wa magazeti na ushabiki
hakuna aliyemchafua kajichafua mwenyewe mwizi mkubwa, na hizo pesa zitammlaani yeye na aliokula nao, tena unatia kichefuchefu kweli. We unadhani hadi kujiuzulu si anajua ukweli, kwa mawazo yako unadhani angejiuzulu mpenda madaraka huyo, yeye alijua ataendelea kuiba maisha yake yote. Mara mia ungemshauri aende kuwaendeleza wananchi waliompa'kula' kule bariadi. Wewe ndio unamtia kiburi huyo vijisent na nadhani wewe ndio ulikuwa unampa bichwa aibe!
Kwa hiyo hasira yako ni kwa sababu chenge naye ana hela kama mengi au ni nini, kuwa mengi peke yake ndiye anapaswa kuwa na hela au ndio kawatuma kuwa mchafue wengine ambao wanataka kumsogelea. Sasa umenifunua akili nilikuwa najaribu kujua haya yote yanatokea wapi, Ala acheni kuwa vibaraka wa magazeti na ushabiki
ukweli unauma kwa wezi kama wewe na vijisent wako, umetoka mkuku kuja kumtetea hapa, tunakuona mwehu mwehu. Kiburi cha pesa ndicho kinachokufanya uanze kujibu post moja baada ya ingine. Unalo bidada limekuganda!
....Would you pls stop ya planned spins..... GT alisema 'kanywa sumu' and not otherwise...
http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=12801
Utalaaniwa wewe unayedhani umaskini wako umeletwa na chenge. Kuhusu Bariadi nenda huko ukawaulize wananchi wake ndio wanaweza kusema mimi siwezi kuwasemea. Lakini ukweli ni kuwa umasikini wako haujaletwa na chenge lakini sisi wenye akili dumazi tusiotaka maendeleao. Yeye hakuomba madaraka bali alipewa walaumuni waliompa madaraka. Hakuomba uanasheria mkuu wala uwaziri. Alipewa kazi hizo kwa umahiri wake. Semeni yote iko siku mtakumbuka maneno haya maana hamjafanya naye kazi. Hasira za maisha yenu zinawafanya muwe wapofu.