graduate wa Havard aliyeajiriwa na serikali ya jamhuri ya muungano wa TZ hawezi miliki fedha zote zile wewe.acha kutufanya sie mabwege.
and remember hizo fedha kazipata in near future(something smells fishy)
we kugraduate Havard ndio umeona Ticket to richness??then u r soo saddening
Ala hivi ndio unavyofikiri no wonder mna ufinyu wa mawazo. Ni wapi uliposoma kuwa kapata hizo hele hivi karibuni? jamani watanzania mna kazi