Tetesi: Clouds Media na 'mpunga' wa Zari (Revealed)

Tetesi: Clouds Media na 'mpunga' wa Zari (Revealed)

Si vizuri kumwaga vitu vya watu hadharani namna hii.Ni kama mnawachongea! TRA wanapitaga huku mjue!!!







k
 
mzurimie tunajaribu kutafta kodi ya kuendesha nchi we unaleta mahaba. Hiyo sio siasa ndo hali halisi tena hii nchi inapambana na muuza saa kariakoo akati kuna 700mill imeingia na inaondoka bila kodi na wewe eti unasema ni wivu. Nakuomba Chabruma nisaidie kumwambia DC wetu kama wilaya imeingiza kiasi gani kwa onesho lile kufanyikia wilayani kwake. Na pia tujue TRA imelamba ngapi. Nchi ndo inaendeshwa namna hyo sio kuwaonea wafanyakazi kwa kuwakata mikodi tu

Nimeshakwambia acha wivu,

pesa ngapi za walipa kodi zinatumiwa ovyo na wafanyakazi wa serikali umelifanyia nini hilo?

yaani mangapi yanaendelea hata dakika hii ya kuibia wananchi haufatiliii weye unamfatilia Diamond an Zari...tabu ni kwamba jifunze au toa zako kasaidie kukemesha wanaoiba uko serikalini...

kila siku watu wanachangi mamillion kwenye party za maharusi mbona hauwafati?

hata uko serikali za wilaya wanaiba kutwa barabara mbovu zinawekwa platic nyepesi then pesa tena zinatumika hawaweki kiango cha kukaa miaka ili waibe tena, umefanyaje kwa hilo?

watu wanaingiza vitu vya magendo hawalipi kodi umefanyaje kwa hilo?

kama ulikosa kwenda tunajua pesa ilikuwa ndefu basi tulia ila sio kutaja taja pesa ya party...kesho ukisema unafanya get together ya kila mtu achangie mle mnywe je utasubiri wakuulize kodi au utaenda TRA kulipia?

sasa sio hata milioni 700 ni ilizidi billioni...umefurahi? tena wahi pale mwenge TRA kawashtaki Zari na party yake, watakushukuru na kukubeba juu na kukupa tuzo nzuri sana hata magazetini tutakuona...
 
Si vizuri kumwaga vitu vya watu hadharani namna hii.Ni kama mnawachongea! TRA wanapitaga huku mjue!!!

Tena ndio wanachotaka wakati hata ticket hazikuzidi 10 za millioni 3. wana wivu haooooooo, badla wake wapange wanakopije wanaishia kushuka chini na tayari bado wako chini.

Nchi zingine wenye vyeo vya serikali wanapelekeshwa na hata kujiuzuru hawa wanafata maisha ya wananchi hawawezi kudhubutu kufungua mdomo hata mbele ya mgambo kujitetea wakisingiziwa wamepiga chafya

ndio maana Zari kaja kafanya jipya na watabaki kuchochea tu
 
kwenye amplifaya alihojiwa Babu Tale akasema tiket za million 3 zilikua 10 tu,, sasa hapa naona,,, duh
 
Mapambo ya Milioni 700? Hata PARADISO hakuna mapambo ya gharama hiyo

Mungu wangu daah nimesoma huu uzi usiku mnene nikajikuta nacheka kama mchana vile binamu asante kwa kunirudishia siku yangu iliyokuwa mbaya hahahahahahahaha sitoki jf walaah
 
Chimunguru acha upimbi pale uwanja wa taifa hakujawahi kuwa na ticket ya Milioni Tatu toka historia ya nchi hii...kwenye party ya Zari kiingilio cha chini kilikua ni Tzs 50,0000 wakati uwanja wa taifa hata Tzs 3,000 unaingia...go back to school otherwise usije na bullshit arguments
Very Cheap argument kiongozi
 
yaaan huu uzi nmeupitia kuanzia mwanzo adi mwisho.ndio naanza kupata picha kwa nini wabongo hasa vijana biashara znatushinda hata at the initial stage.yaaan mtia mada hata biashara ya vitumbua huiwezi kwa hesabu zako.yaaan aiseee adi naona aibu kusoma baadhi ya comment.ivi ruge unaweza kumtenganisha na babu tale au saidi fella!!? kweli unashindwa hata kujua udhamini wa mawingu kwenye ile party??unadhani udhamini ni lazima utaoe pesa??kweli unaahindwa hata kujua kua mlimani city iliwekwa faniture na mapambo ya kila aina ya gharama.yaaan io ml700 yako unayoisema kama viingilio yaweza kua ilishia kwenye mapambo ya ukumbi na kodi.aiseee jaman tuache kujidhalilisha ivyo.tuongee mambo ya kitaharam angalau kitaharamu.izi konyagi tunazokunywa vilabuni na kuja kuandika uzi jf zitatuvunjia heshima hata kimataifa jaman

Shule za kata in the making...sijui umekula maharage ya wapi wewe!!
 
Jumla Tiketi za Tzs 3,000,000 ( VVIP Table) zilizouzwa ni 150 only = (3,000,000 x 150 = 450,000,000)
Kwa kweli hata kama ningekuwa ni zuzu wa kuamini kila wala nisingeamini madai ya kuwapo VIP Tables 150. Si kwamba hakuna idadi hiyo ya watu wenye uwezo wa ku-order idadi hiyo ya meza bali ni kwamba ukumbi mzima ungetapakaa meza za VIP!
 
Kwa kweli hata kama ningekuwa ni zuzu wa kuamini kila wala nisingeamini madai ya kuwapo VIP Tables 150. Si kwamba hakuna idadi hiyo ya watu wenye uwezo wa ku-order idadi hiyo ya meza bali ni kwamba ukumbi mzima ungetapakaa meza za VIP!

Kuna video hapo juu, ni mahojiano kati ya Babu Tale na Millardi.
Tale amesema VIP zilikuwa ni 12 za 1,000,000
VVIP zilikuwa 10 za 3,000,000
Hivyo jumla ya VIP zote ni 22 thamani yake ni 42,000,000
 
WanaJamii,

I hope mko vizuri jumamosi hii. Jana ile party iliyokuwa inasuburiwa kwa hamu EAST AFRICA nzima ZALI ALL WHITE PARTY ambayo ilifanyika pale Superbrand Hall Mlimani City Beibee....lol

Issue iko hivi originally hiyo party ilikuwa na ya mwana dada Zarina Hassan a.k.a The Boss Lady...alikuja Bongo akiamini hiyo show ni yake exclusively na atakua fully incharge na mapato ya party nzima....kama mtakumbuka matangazo ya mwanzo ya party hii yalikua kama yamedorora flani hivi yani yalikuwa yamekosa SPARK sasa kama kawa Kijana Ruge wa Mawingu akimtuma Bwana Mdogo Seba akachonge na Zari ili wazee wa Mawingu wanunue hiyo show nzima then jukumu la promotion na maandalizi yote waachiwe wao..

Kijana Seba akakutana na Zari pamoja na Diamond pale Kilimanjaro Hotel na kuwapa offer ya Milioni 100 yaani wachukue huo mpunga then mambo mengine wawaachie wao...Mrembo akagoma kabisa kwani aliamini hiyo party inaweza ikamwingizia kama Milioni 500 so hakuwa tayari....Seba ikabidi arudi kwa Ruge na kumwambia The Boss Lady Amekataa hiyo offer...

Ruge ikabidi awa face Zari na Diamond yeye mwenyewe na habari zisizo za uhakika zinasema Zari na Diamond walikubali kuchukua Milioni 200 na kuuza hiyo party kwa wazee wa Mawingu......Kwahiyo mapato yote yaliyopatikana jana usiku yanayokadiriwa kuwa Milioni 700 yalienda kwa the Don mwenyewe.

Jamani hizi ni tetesi tu. Disclaimer...lol

=======Update===

Kutokana maswali mengi yanayohusu mchanganuo wa mapato wa Milioni 700 nimelazimika kuweka mchanganua huo hapa chini.

Ukumbi wa Mlimani City una uwezo wa kuchukua watu waliokaa 'seating capacity' Elfu mbili na mia tano ( 2,500 People).

Jumla Tiketi za Tzs 3,000,000 ( VVIP Table) zilizouzwa ni 150 only = (3,000,000 x 150 = 450,000,000)
Jumla ya Tiketi za Tzs 1,000,000 (VIP Table) zilizouzwa ni 120 only = ( 1,000,000 X 120 = 120,000,000)
Jumla ya Tiketi za Tzs 100,000 zilizouzwa ni 570 only = ( 100,000 x 570 = 57,000,000)
Jumla ya Tiketi za Tzs 50,000 zilizouzwa ni 1,563 only = ( 50,000 X 563 = 78,150,000).

HAYO NI MAKADIRIO YA MAPATO TU

Shikamoo Ruge/Shikamoo Diamond/Shikamoo Zari

Tale kasema ticket za 3m ambazo ni VVIP zilikua 10, ticket za 1m (VIP) zilikua 12... aya bhana kama ni munyu yako imekolea sana mkuu.
 
Kuna video hapo juu, ni mahojiano kati ya Babu Tale na Millardi.
Tale amesema VIP zilikuwa ni 12 za 1,000,000
VVIP zilikuwa 10 za 3,000,000
Hivyo jumla ya VIP zote ni 22 thamani yake ni 42,000,000

Sure :thumbup:
 
Back
Top Bottom