Tetesi: Clouds Media na 'mpunga' wa Zari (Revealed)

Tetesi: Clouds Media na 'mpunga' wa Zari (Revealed)

200m ndogo? jamani hivi kukaa mwezi ukabuni kitu ukapata return ya 200m useme imekula kwako? mbona mi nadhani ni super profit! au kwa kuwa sina?
Sema wewe kiazi mimi muhogo
Ntaambiwa muongo. .U have nailed it
In a month's time ku make milion 200
Ni super profit win win
 
Huyu bwana ni muongo mtupu hajui chochote
 
WanaJamii,

I hope mko vizuri jumamosi hii. Jana ile party iliyokuwa inasuburiwa kwa hamu EAST AFRICA nzima ZALI ALL WHITE PARTY ambayo ilifanyika pale Superbrand Hall Mlimani City Beibee....lol

Issue iko hivi originally hiyo party ilikuwa na ya mwana dada Zarina Hassan a.k.a The Boss Lady...alikuja Bongo akiamini hiyo show ni yake exclusively na atakua fully incharge na mapato ya party nzima....kama mtakumbuka matangazo ya mwanzo ya party hii yalikua kama yamedorora flani hivi yani yalikuwa yamekosa SPARK sasa kama kawa Kijana Ruge wa Mawingu akimtuma Bwana Mdogo Seba akachonge na Zari ili wazee wa Mawingu wanunue hiyo show nzima then jukumu la promotion na maandalizi yote waachiwe wao..

Kijana Seba akakutana na Zari pamoja na Diamond pale Kilimanjaro Hotel na kuwapa offer ya Milioni 100 yaani wachukue huo mpunga then mambo mengine wawaachie wao...Mrembo akagoma kabisa kwani aliamini hiyo party inaweza ikamwingizia kama Milioni 500 so hakuwa tayari....Seba ikabidi arudi kwa Ruge na kumwambia The Boss Lady Amekataa hiyo offer...

Ruge ikabidi awa face Zari na Diamond yeye mwenyewe na habari zisizo za uhakika zinasema Zari na Diamond walikubali kuchukua Milioni 200 na kuuza hiyo party kwa wazee wa Mawingu......Kwahiyo mapato yote yaliyopatikana jana usiku yanayokadiriwa kuwa Milioni 700 yalienda kwa the Don mwenyewe.

Jamani hizi ni tetesi tu. Disclaimer...lol

=======Update===

Kutokana maswali mengi yanayohusu mchanganuo wa mapato wa Milioni 700 nimelazimika kuweka mchanganua huo hapa chini.

Ukumbi wa Mlimani City una uwezo wa kuchukua watu waliokaa 'seating capacity' Elfu mbili na mia tano ( 2,500 People).

Jumla Tiketi za Tzs 3,000,000 ( VVIP Table) zilizouzwa ni 150 only = (3,000,000 x 150 = 450,000,000)
Jumla ya Tiketi za Tzs 1,000,000 (VIP Table) zilizouzwa ni 120 only = ( 1,000,000 X 120 = 120,000,000)
Jumla ya Tiketi za Tzs 100,000 zilizouzwa ni 570 only = ( 100,000 x 570 = 57,000,000)
Jumla ya Tiketi za Tzs 50,000 zilizouzwa ni 1,563 only = ( 50,000 X 563 = 78,150,000).

HAYO NI MAKADIRIO YA MAPATO TU

Shikamoo Ruge/Shikamoo Diamond/Shikamoo Zari

Kwa uelewa wangu ticcket ya mil 3 unapata meza ya watu 8... Wakati ticket ya mil 1 unapata keza ya watu wa 4

Kwa hesabu zako kama ticket za mil 3 zilikuwa 150 basi jumla ya waliongia kupitia ticket hizo ni watu 1200(150*8)
Kwa ticket za mil 1 kwa hesabu zako kama zilikuwa 120 basi walioingia walikuwa 480(120*4)

So jumla ya VIP tickets tu ni watu 1680(1200+480)

Haya chukua tickets za elfu 50 na laki 1 ambazo hizi ni za mtu mmoja mmoja ambapo kwa hesabu zako kwa za elfu 50 zimeuzwa 1563 na za laki 1 zimeuzwa 570 inakuwa ni 2133(1563+570)

Ukichukua jumla ya watu wa VIP tickets na tickets za kawaida unapata total ya watu 3813 afu wewe unatuambia ukumbi wa mlimani city unachukua watu 2500 tu

Sasa jombaa rudi utengeneze tena hizi hesabu zako

Zingatia Babu Tale ambaye ni meneja wa Diamond alipohojiwa na Millardy Ayo alisema tickets za mil 3 zilikuwa 6 tu
 
Clouds walilipwa pesa yao ua matangazo tu acheni uzushi
Zari hajaanza leo wala jana kufanya hizi party zake, ni mzoefu mmno na anaijua pesa mmno
Hawezi kuuza kwa staili hiyo

Hii hapa chini ndio list ya waratibu na wapishi wakuu wa shughuli nzimaa
ImageUploadedByJamiiForums1430604642.963231.jpg
 
Hapa wanaanda na kuzifunga kadi wenyewe wanasimamia mzigo
ImageUploadedByJamiiForums1430605358.055960.jpg
 
Toa sababu zako kwanini unasema ni uongo?
Weka facts mezani sio blah blah.

Dada ni uongo wa hali ya juu,mimi nilikuwepo ukumbini.kwanza meza za mil.3 zilikuwepo sita tu.
Pili meza za tiketi za mil.1 zilikuwa hzizidi 20 wakiongozwa na kajala na mhe.makonda.idadi ya wageni wa laki 1 na 50,000 ndio sina uhakika sana ila 50,000 tulijaa ikawa hakuna hata sehemu ya kutema mate
 
Kwa hiyo wote walioenda kwa zari jana walinunuliwa na ruge ebwanaee hatari,yaani promo lote lile kaambulia mil.200? Hatari mond na zari inabidi waandamane kwani huu ni ufisadi mwingine. Ila ruge anajua sana
unavoiandika hiyo miliono 200 kama unayo vile hata 0.009 yake!
 
Ndio maana naipenda hii couple inajitambua...

Lazima walikoma Zari kuwakatalia wakajua wana dili na high class celebs sio pesa za mchezo.

Hata kama clouds ilipata ka adilimia fulani ila Ruge kutuma mtu na kuamua kwenda mwenyewe lazima amekutana na shoka....

Wasanii wa bongo woga mwingi, Diamond ni anajua dhamani yake pia...na now Zari anajijua....nice one
 
woowoooo hoyaaaa kiko wapi kumbe changa nilijua tu hakuna kitu pale hoyaaaaaa.kimenuka kumbe mashauzi yote yale wamelamba milion 200 tu nyingine wamewapatia wazee wa jiji chezea bongo na zari ujue uku ndio bongo,POLE SANA ZARI JAMANII. na hii ishu ni kweli tupu mi pia nimeipata yote. KIKO WAPI? MTAJIBEBA

Wewe umepata sh ngapi? Si unajua na sponsors walikuwepo lazima wamelamba zaidi ya hiyo pesa...tulia sakafu...
 
Dada ni uongo wa hali ya juu,mimi nilikuwepo ukumbini.kwanza meza za mil.3 zilikuwepo sita tu.
Pili meza za tiketi za mil.1 zilikuwa hzizidi 20 wakiongozwa na kajala na mhe.makonda.idadi ya wageni wa laki 1 na 50,000 ndio sina uhakika sana ila 50,000 tulijaa ikawa hakuna hata sehemu ya kutema mate

Ziliongezwa 4 pia za m3 demand watu walitaka so zikawa 10...so zilikuwepo labda haIkupangwa kama sita walizotaka wao mwanzoni...
 
Hakuna uwizi hapa ni biashara tu.....Zari na Diamond hawakua tayari ku take risk so wakaamua wachukua mzigo wao mapema...

Unajua hii party sio ya kwanza Zari kufanya?

Kutake risk kivipi?

Kwani hata D show zake anawauziaga clouds?
 
ruge kabeba mkwanja wote,mtajibeba

Yaani wewe unasikitisha y usikopy ukawa kama Diamond?

Clouds wamepata pesa ya matangazo...chezea celebs na akili zao?

Unadhani Zari na Diamond ni ka wewe na bosi wako?

Mwambie bosi wako afanye basi tuone.

Pole sana usijali Diamond yupo juu ndio alivyopangiwa na Mungu...nyota nyota
 
Ziliongezwa 4 pia za m3 demand watu walitaka so zikawa 10...so zilikuwepo labda haIkupangwa kama sita walizotaka wao mwanzoni...

Vipi Dada najua na kodi yetu ililipwa serikalini au sio mie ni hilo tu
 
tiketi za m3 zilikuwa kumi tu hizo 150 zimetoka wp.....tuache ushabiki maandazi na mikate.....
 
Hao wote walitamania

Ya Uganda 2014 party ya Zari, ciroc ndio walibeba bendera....

Bora mtu kutaka kujua wanafanyeje nawe ufanye kuliko kutaka kuponda na umekaa unashuka au ndio upo pale pale ulipo tangu...

Natumaini Zari atakua amenyanyua fikra za wanawake wengi esp wasanii waanze kutambua value zao...na kusaka pesa kwa bidiii bila kushuka na juu ya yote kujiheshimu na wadau kuona hivyo sio kuruka kura na kucheka ovyo kama sijui nini...Uganda Oyeeeeeeeerr
 

Attachments

  • 1430635955339.jpg
    1430635955339.jpg
    66.5 KB · Views: 175
Back
Top Bottom