Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
200m ndogo? jamani hivi kukaa mwezi ukabuni kitu ukapata return ya 200m useme imekula kwako? mbona mi nadhani ni super profit! au kwa kuwa sina?
Upo sawa m200 sio kidogo,ukizingatia kuna gharama za ukumbi,matangazo,vinywaji and the like huyo Ruge hajafaidi kihivyo hao akina Zari wamepiga hela nzuri tu