Tetesi: Clouds Media na 'mpunga' wa Zari (Revealed)

Tetesi: Clouds Media na 'mpunga' wa Zari (Revealed)

WanaJamii,

I hope mko vizuri jumamosi hii. Jana ile party iliyokuwa inasuburiwa kwa hamu EAST AFRICA nzima ZALI ALL WHITE PARTY ambayo ilifanyika pale Superbrand Hall Mlimani City Beibee....lol

Issue iko hivi originally hiyo party ilikuwa na ya mwana dada Zarina Hassan a.k.a The Boss Lady...alikuja Bongo akiamini hiyo show ni yake exclusively na atakua fully incharge na mapato ya party nzima....kama mtakumbuka matangazo ya mwanzo ya party hii yalikua kama yamedorora flani hivi yani yalikuwa yamekosa SPARK sasa kama kawa Kijana Ruge wa Mawingu akimtuma Bwana Mdogo Seba akachonge na Zari ili wazee wa Mawingu wanunue hiyo show nzima then jukumu la promotion na maandalizi yote waachiwe wao..

Kijana Seba akakutana na Zari pamoja na Diamond pale Kilimanjaro Hotel na kuwapa offer ya Milioni 100 yaani wachukue huo mpunga then mambo mengine wawaachie wao...Mrembo akagoma kabisa kwani aliamini hiyo party inaweza ikamwingizia kama Milioni 500 so hakuwa tayari....Seba ikabidi arudi kwa Ruge na kumwambia The Boss Lady Amekataa hiyo offer...

Ruge ikabidi awa face Zari na Diamond yeye mwenyewe na habari zisizo za uhakika zinasema Zari na Diamond walikubali kuchukua Milioni 200 na kuuza hiyo party kwa wazee wa Mawingu......Kwahiyo mapato yote yaliyopatikana jana usiku yanayokadiriwa kuwa Milioni 700 yalienda kwa the Don mwenyewe.

Jamani hizi ni tetesi tu. Disclaimer...lol

=======Update===

Kutokana maswali mengi yanayohusu mchanganuo wa mapato wa Milioni 700 nimelazimika kuweka mchanganua huo hapa chini.

Ukumbi wa Mlimani City una uwezo wa kuchukua watu waliokaa 'seating capacity' Elfu mbili na mia tano ( 2,500 People).

Jumla Tiketi za Tzs 3,000,000 ( VVIP Table) zilizouzwa ni 150 only = (3,000,000 x 150 = 450,000,000)
Jumla ya Tiketi za Tzs 1,000,000 (VIP Table) zilizouzwa ni 120 only = ( 1,000,000 X 120 = 120,000,000)
Jumla ya Tiketi za Tzs 100,000 zilizouzwa ni 570 only = ( 100,000 x 570 = 57,000,000)
Jumla ya Tiketi za Tzs 50,000 zilizouzwa ni 1,563 only = ( 50,000 X 563 = 78,150,000).

HAYO NI MAKADIRIO YA MAPATO TU

Shikamoo Ruge/Shikamoo Diamond/Shikamoo Zari

Asante ila umesahau watu laki moja waliangalia online kwa tsh.3000
Pia vodacom wamedhamini kwa mamilioni ya pesa, jamii forums pia walikua wadhamini wake pamoja wadhamini wengine so jumlisha apo sijui inakuja how much
 
woowoooo hoyaaaa kiko wapi kumbe changa nilijua tu hakuna kitu pale hoyaaaaaa.kimenuka kumbe mashauzi yote yale wamelamba milion 200 tu nyingine wamewapatia wazee wa jiji chezea bongo na zari ujue uku ndio bongo,POLE SANA ZARI JAMANII. na hii ishu ni kweli tupu mi pia nimeipata yote. KIKO WAPI? MTAJIBEBA

Huyu ruge ana mahela halafu ana maakili mno,hez a billionaire
 
Mkwanja hautusaidii mkuu!
Hata mkwanja wa Kiba haukunufaishi vile vile. Cha msingi ni kuona wasanii wa kitanzania wanainuka na wanapata support zetu kama watanzania.
Inapotokea sisi wenyewe wadau tunawajengea wasanii kinyongo kisichokuwa na msingi, lazima awepo wa kukemea au kushauri.
Kimsingi mkwanja kila mtu anao wa kwake na ana mbinu zake za kuutafuta!
Tuache wivu na mabifu yasiyo na mbele wala nyuma!

Sawa ila labda hadi ruge afe ndio wasanii wa bongo watakua mamilionea
 
Kitu nilichokigundua watu wanamchukia sana diamond sijui kwa sababu gani, hata kama amepata mil 200 kitu ambacho si kweli, wanaofurahia hawawezi pata hizo hela mpaka wanarudi kwa muumba hahahahaha
 
yaaan huu uzi nmeupitia kuanzia mwanzo adi mwisho.ndio naanza kupata picha kwa nini wabongo hasa vijana biashara znatushinda hata at the initial stage.yaaan mtia mada hata biashara ya vitumbua huiwezi kwa hesabu zako.yaaan aiseee adi naona aibu kusoma baadhi ya comment.ivi ruge unaweza kumtenganisha na babu tale au saidi fella!!? kweli unashindwa hata kujua udhamini wa mawingu kwenye ile party??unadhani udhamini ni lazima utaoe pesa??kweli unaahindwa hata kujua kua mlimani city iliwekwa faniture na mapambo ya kila aina ya gharama.yaaan io ml700 yako unayoisema kama viingilio yaweza kua ilishia kwenye mapambo ya ukumbi na kodi.aiseee jaman tuache kujidhalilisha ivyo.tuongee mambo ya kitaharam angalau kitaharamu.izi konyagi tunazokunywa vilabuni na kuja kuandika uzi jf zitatuvunjia heshima hata kimataifa jaman
 
Kitu nilichokigundua watu wanamchukia sana diamond sijui kwa sababu gani, hata kama amepata mil 200 kitu ambacho si kweli, wanaofurahia hawawezi pata hizo hela mpaka wanarudi kwa muumba hahahahaha

Wengi wenye chuki si hawa watu wanaoshinda kwenye mitandao ya kijamii na hawana la maana la kufanya!
 
yaaan huu uzi nmeupitia kuanzia mwanzo adi mwisho.ndio naanza kupata picha kwa nini wabongo hasa vijana biashara znatushinda hata at the initial stage.yaaan mtia mada hata biashara ya vitumbua huiwezi kwa hesabu zako.yaaan aiseee adi naona aibu kusoma baadhi ya comment.ivi ruge unaweza kumtenganisha na babu tale au saidi fella!!? kweli unashindwa hata kujua udhamini wa mawingu kwenye ile party??unadhani udhamini ni lazima utaoe pesa??kweli unaahindwa hata kujua kua mlimani city iliwekwa faniture na mapambo ya kila aina ya gharama.yaaan io ml700 yako unayoisema kama viingilio yaweza kua ilishia kwenye mapambo ya ukumbi na kodi.aiseee jaman tuache kujidhalilisha ivyo.tuongee mambo ya kitaharam angalau kitaharamu.izi konyagi tunazokunywa vilabuni na kuja kuandika uzi jf zitatuvunjia heshima hata kimataifa jaman

sio kitaharamu mkuu bali kitaalamu umesomea wapi mbwiga wewe
 
yaaan huu uzi nmeupitia kuanzia mwanzo adi mwisho.ndio naanza kupata picha kwa nini wabongo hasa vijana biashara znatushinda hata at the initial stage.yaaan mtia mada hata biashara ya vitumbua huiwezi kwa hesabu zako.yaaan aiseee adi naona aibu kusoma baadhi ya comment.ivi ruge unaweza kumtenganisha na babu tale au saidi fella!!? kweli unashindwa hata kujua udhamini wa mawingu kwenye ile party??unadhani udhamini ni lazima utaoe pesa??kweli unaahindwa hata kujua kua mlimani city iliwekwa faniture na mapambo ya kila aina ya gharama.yaaan io ml700 yako unayoisema kama viingilio yaweza kua ilishia kwenye mapambo ya ukumbi na kodi.aiseee jaman tuache kujidhalilisha ivyo.tuongee mambo ya kitaharam angalau kitaharamu.izi konyagi tunazokunywa vilabuni na kuja kuandika uzi jf zitatuvunjia heshima hata kimataifa jaman

Mapambo ya Milioni 700? Hata PARADISO hakuna mapambo ya gharama hiyo
 
woowoooo hoyaaaa kiko wapi kumbe changa nilijua tu hakuna kitu pale hoyaaaaaa.kimenuka kumbe mashauzi yote yale wamelamba milion 200 tu nyingine wamewapatia wazee wa jiji chezea bongo na zari ujue uku ndio bongo,POLE SANA ZARI JAMANII. na hii ishu ni kweli tupu mi pia nimeipata yote. KIKO WAPI? MTAJIBEBA

Sikujua kama wewe ni mwanamke!
 
wabongo nimegundua kitu kimoja tuna roho moja chafu sana yani hatusapotiana na km ukimchukia mtu bas u wont appreciate wherever he or she is doing
niulize sie tunaomzomea mondi kwa kupata MILIONI MIA MBILI eti ndogo
hv mko serious au ndi chuki
aisee this iiss too much
simkubali mondi ila kwa hapa anastahk pongezi
jiulize can u make ten mils per night?mpk umcheke dai ?
nyie mshawahi ht kunegociate mkataba ht wa 30mils
hebu tuacheni nyodo
kwanza tumpe hongera dogo maana i hope next time itakua bonge la show...
 
wewe ndio mungu akusaidie maana kichwani hakuna kitu yani zero kabisa...

nakuonea huruma.yaaan mungu angekupa hata kavitis tusingelala.yaaan inaweza kua mwanaume wewe lakin una roho ya kike kike..
 
woowoooo hoyaaaa kiko wapi kumbe changa nilijua tu hakuna kitu pale hoyaaaaaa.kimenuka kumbe mashauzi yote yale wamedlamba milion 200 tu nyingine wamewapatia wazee wa jiji chezea bongo na zari ujue uku ndio bongo,POLE SANA ZARI JAMANII. na hii ishu ni kweli tupu mi pia nimeipata yote. KIKO WAPI? MTAJIBEBA

Akili ya kuambiwa changanya na zako.
 
Mbona tale alisema ticket za mil 3 hazizidi 50
 
Du waliotoa M3 watakuwa wamerogwa na nani? Shetani mweupe kawapitia, Angalau achukue Ten m, amsopu sopu baba yake eheee!!!

Mkuu, je mtu akiamua katika ile million 10 ya mboga atoe tu million tutatu kuna hasara hapo?
 
Back
Top Bottom