Tetesi huanza na minong'ono

Hakuna bwashee ni udini tu,
Sikatai watu wachukie kwa udini, lakini isifike kuuwana kwa udini kwa kuwa kufa ni wanakufa dini zote
Viongozi na Watanzania mbalimbali waliowahi kuzushiwa kifo kumbe sio, ni wa dini moja tu ya kwako ? Imethibitishwa kwamba anayekimbilia kujitetea kwenye udini yeye ndiye mdini mkubwa.
 
Sitaki mazoea na wasenge. Marinda wakutatue wengine huko kilio ulete humu, kafie mbali huko.
 
Mimi nimeweka sababu na ushahidi kuwa wewe ni mzushi.

Wewe umezusha tu kuwa mimi ni mzushi na hivyo kuthibitisha kuwa wewe ni mzushi.
Wewe ni mzushi kwa kuwa umenisingizia mimi uzushi wakati wewe ndie mzushi mkubwa kwa kukataa kwa makusudi au kujifanya huoni ushahidi uliomo humu uzini kwamba wakristo wanafurahi na wanaombea muislamu afe tena hasa muislamu rais wa inchi,

Lakini kikubwa kuliko yote ni kuthibitika kwako leo kwamba wewe una dini na dini yako ni ukristo, na ndio maana post imekugusa sana na umeimaind kweli kweli

Kidogo kidogo tu itajulikana
Mjomba mzushi
 
Mimi nimejiandikia tu best baada ya Amphibia kuliwa kichwa na nyuki wakali sasa redio mbao zinasema watamtimua
Kapumbavu, eti Amphibia! Nyie mmemshindwa mpaka msaidiwe na wengine kaone! 4 o'clock mnapigwa tu! Wanaficha nini sasa? Lakini tangu kipindi kile si tulikubaliana kama Taifa kwamba tuwe tunapeana taarifa za ugonjwa? Aangalie kiti kitaenda u'wachu!
 
Yeyote yule anayeyasimamiana kuyalinda magenge ya utekaji na uuaji akitangulia itakuwa nafuu kwa Taifa.
Kwa kawaida hii teka teka iliyotokea Huwa hahusiki kwenye Kila tukio mengine Huwa sio yake!!

Ni mfumo huamua TU kwa malengo maalum!

Hasta enzi ya chato alishangaa utekwaji wa Mo dewji hadharani,akishangaa inawezekanaje igp na mambo Sasa wapo na tukio likatokea!!!

Hayo hufanyika Kwa malengo maalum!!!
 
Nipe mbinu za kumpenda adui yangu, hili limenishinda kabisa.
 
Mkuu so tujiandae Islael anatutembelea tena msimu huu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…