Tetesi huanza na minong'ono

hakika, Mungu atunusuru.
 
kuna uzi wa mwaka fulani ulipanda jamaa aliezea hali fulani ya taifa, mtukuka GENTAMYCINE naye kaanzisha uzi una mafumbo matupu akitaja hospitali ya cuba. haya tena mshana jr naye kaja na tetesi za msechu kudaiwa kuingia studio. wengine tutapita tu katikati ya mafumbo haya yatafunguka yenyewe
 
Hatupendi mabaya yamkute yeyote sio hulka ya mtanzania ila wenye mamlaka za kiprofesheno tendeni haki jitengengeni na siasa za kuleta chuki kwenye taifa vyombo vya ulinzi na usalama jitengeni na wanasiasa kwasababu mwisho wa siku nyie ndio mtaulizwa mlikuwa wapi wakati taifa linadondoka? Mwisho naomba mwenyezi Mungu awalinde viongozi wetu no matter what they do now na tanuru gani wanawapitisha baadhi ya watanzania ila awajaalie afya njema waione tanzania mpya ambayo wao waliikataa kwa nguvu za dola hasa polisi.
 
You are not worth my shells.

Straight to ignore list.

Kuanzia hapa sitaona post yako yoyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…