Tetesi huanza na minong'ono

Tetesi huanza na minong'ono

Kwakua watu hawana agenda bas hzo ni agenda mnapewa. Badala mpambane na wa2 kukatwa majina mnahangaika na umbea huu na Yanga kufungwa.Kwan hamna agenda ambayo haina upepo?
Hi ni jamii ya kumpumbavu sanaa mambo muhimu ya nachwa na kutunga yasio kua na umuhimu wowote, akimaliza yanga kufungwa 3.0 wamedandia hilo wakati kuna la kukata majina ambalo ni suala muhimu sana kitaifa.
 
Tetesi huanza na minong'ono.. Hiyo minong'ono ikikoma huwa tetesi na tetesi zikikoma huwa breaking news..!
Dunia ya sasa iko uchi kutokana na maendeleo makubwa ya teknolojia.. Dunia haina siri tena!
Unafanya jambo gizani.. Tena giza totoro kabisa lakini unakuja kushangaa jambo hilo linakuja kuwekwa upenuni peupe kwa picha safi kabisa

Kuficha taarifa yoyote kubwa inayoihusu Jamii haisaidii chochote.. Tunaweza kafanya hivyo kwa lengo maalum na sababu maalum lakini kwa dunia hii ya sasa.. Taarifa zinaweza kuvuja zenyewe bila hata kuvujishwa na yoyote yule

Kuna madhara makubwa kwenye taarifa kuvuja zenyewe.. Maana ni sawa na bomba la maji lililopasuka na kuvujisha maji barabarani.. Yale maji hayana mwenyewe.. Yeyote anaweza kuyatumia vyovyote
Taarifa zinazovuja zenyewe hurembwa, hutiwa nakshi na kuongezewa vikolombwezo vya kila aina kulingana na mahitaji ya mlengwa!
Hakuna siri ya mtu moja duniani.. Ni fikra finyu kuruhusu minong'ono itawale kuliko kuweka wazi.. Akili ya binadamu ni kitu kisichozuilika.. Ukiibania taarifa unaiongezea udadisi na mshawasha wa kutaka kujua zaidi.. Kujua kulikoni...
Minong'ono ya Msechu kujiandaa kuingia studio ni uzushi usiofaa kupewa kipaza sauti
Screenshot_20241109_072951_X.jpg
 
Salary Slip hii habari mbaya kama ni kweli Bi Mkubwa hapaswi kuugua na kundoka tunampenda sana. Yaani yeye ni catalyst na kiunganishi. Hatuna mwingine. Tulilia na bado tunaomboleza kifo cha kwanini Mchate alikufa ila kwa Bi mkubwa tumuombee Mungu amuepushe
Wewe na nani mnampenda?
Kama ni DALALI WA DP WORLD ATANGULIE TU NAMI NITAMKUTA.
 
Back
Top Bottom