Tetesi huanza na minong'ono

Tetesi huanza na minong'ono

Kafurahia habari za kifo Cha mkuu wa kaya, wakati yeye juzi kaleta taarifa humu alipata ajali aombewe,Kuna ng'ombe wengine Sana humu
Kafurahia habari za kifo Cha mkuu wa kaya,🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺
 
Kapumbavu, eti Amphibia! Nyie mmemshindwa mpaka msaidiwe na wengine kaone! 4 o'clock mnapigwa tu! Wanaficha nini sasa? Lakini tangu kipindi kile si tulikubaliana kama Taifa kwamba tuwe tunapeana taarifa za ugonjwa? Aangalie kiti kitaenda u'wachu!
🥺🥺🥺🥺
 
Tetesi zinapotokea, ni muhimu kuwa na kiasi cha tahadhari kwa sababu hazina uhakika. Hata hivyo, tetesi zinaweza kuwa chanzo cha breaking news kama zinathibitishwa na vyombo rasmi, lakini kwa kawaida, breaking news ni habari iliyo na uthibitisho rasmi na inayohitaji umakini mkubwa katika utoaji wa taarifa
downloadfile.jpg
 
🥺🤔🙇🏿‍♂🙌🏿Kuzungumza ukweli wa kujenga kwa mamlaka sio kuwadharau, badala yake ni kuwa na heshima na kusaidia. Kuwaambia mamlaka kile wanachotaka kusikia hata tunapojua hakina msaada kwao ni uhalifu.

20:54 13 Mei 24 Maoni 6,836View attachment 3148180
Kumbe ndo maana hii imekuwa habari kubwa hadi nikawa najiuliza kwani mwamba alikuwa nani? Imekuwaje kawa maarufu baada ya kufa? Aliugua kwa muda mrefu? Au alipata ajali?!
Hadi sasa bado najiuliza, sijapata jibu
 
Kumbe ndo maana hii imekuwa habari kubwa hadi nikawa najiuliza kwani mwamba alikuwa nani? Imekuwaje kawa maarufu baada ya kufa? Aliugua kwa muda mrefu? Au alipata ajali?!
Hadi sasa bado najiuliza, sijapata jibu
Aliugua kwa muda mrefu? Au alipata ajali?!
Hadi sasa bado najiuliza, sijapata jibu
Kwakweli hata Mimi sifahamu ila kifo chake kimenifanya nitishike sana.. Na baada ya kuona hii tweet yake.. Nimezidi kuhamanika
IMG-20241109-WA0039.jpg
 
Kama ni taarifa basi siku zote huanza na tetesi,taarifa isiyo na tetesi hayo yanakuwa ni majungu,Kila jungu lazima liwe na chanzo chesi tetesi zenye utetesi,hivyo basi tusibirie ila tuendelee kuziamini tetesi.
 
Tumuombee binadamu mwenzetu apone, kama kweli anaumwa. Watu hupenda kufurahia vifo, hata bila kujua kuwa huenda they'll be next.
kuna jamaa mmoja Katavi alifurahi sana kifo cha magu, akaenda piga pombe balaa tena gongo bila ya kula asubuhi kaamka hoi,hosp kapelekwa kachapwa dripu za kutosha jioni ikawa ntoleeeeee

alizikwa kabla ya magu mapema sana
 
Natamani sana iwe ninavyofikiria
Salary Slip hii habari mbaya kama ni kweli Bi Mkubwa hapaswi kuugua na kundoka tunampenda sana. Yaani yeye ni catalyst na kiunganishi. Hatuna mwingine. Tulilia na bado tunaomboleza kifo cha kwanini Mchate alikufa ila kwa Bi mkubwa tumuombee Mungu amue
 
Back
Top Bottom