Makubaliano na timu yanafanyika tu muda wowote, ila kuingizwa kwenye system ya FIFA ndo hadi dirisha lifunguliwe au kama mchezaji ni huruHIV afrika kuna madirisha mangap ya usajiri ,mbona vurugu tu naona
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Sent using Jamii Forums mobile app