mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 901
- 1,742
Katika hali isiyo ya kawaida Polisi wakiongozwa na Mafwele ambae anaogopwa mpaka na mihimili wamepanga kumpa John Mnyika kesi ya Mauaji , mipango ya kumkamata mda wowote imeshapangwa na inasubiri utekelezaji wake.
YANA MWISHO , HAMTAWEZA KUTUUA WOTE
YANA MWISHO , HAMTAWEZA KUTUUA WOTE