TETESI JOHN MNYIKA ATAPEWA KESI YA MAUJI NA UTEKAJI

TETESI JOHN MNYIKA ATAPEWA KESI YA MAUJI NA UTEKAJI

Katika hali isiyo ya kawaida Polisi wakiongozwa na Mafwele ambae anaogopwa mpaka na mihimili wamepanga kumpa John Mnyika kesi ya Mauaji , mipango ya kumkamata mda wowote imeshapangwa na inasubiri utekelezaji wake.

YANA MWISHO , HAMTAWEZA KUTUUA WOTE
Itakuwa vema ili ukweli utekaji na mauaji yajulikane.
 
Katika hali isiyo ya kawaida Polisi wakiongozwa na Mafwele ambae anaogopwa mpaka na mihimili wamepanga kumpa John Mnyika kesi ya Mauaji , mipango ya kumkamata mda wowote imeshapangwa na inasubiri utekelezaji wake.

YANA MWISHO , HAMTAWEZA KUTUUA WOTE
Kwahiyo Mnyika ndiye aliyemtoa kwenye bus? Mnyika as katibu Mkuu ana wajibu wa kumtafuta mwanachama/kiongozi wake kwa nafasi yake.
 
Katika hali isiyo ya kawaida Polisi wakiongozwa na Mafwele ambae anaogopwa mpaka na mihimili wamepanga kumpa John Mnyika kesi ya Mauaji , mipango ya kumkamata mda wowote imeshapangwa na inasubiri utekelezaji wake.

YANA MWISHO , HAMTAWEZA KUTUUA WOTE
Amemuua nani na wapi...?

Au wale jamaa wa magari mawili ya polisi na TISS walioliteka bus la Tashriff, Ili kumteka mzee Ally Kibao, wakamfunga pingu, wakaenda kumtesa, kisha kumuua na kumtupa ktk pori la Ununio Temeke walitumwa na John Mnyika? Really...?

Huyu IGP Camillius Wambura na DCI Ramadhani Kingai wakimtumia assassin wao Mafwele wana akili kweli...?

Tunaisubiri hiyo script pamoja na movie yake...
 
Cc binti kiziwi
Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
 
TO BE TRUTH SIONI UHATARI WOWOTE WA CHADEMA KATIKA TAIFA HILI, WAACHWE WAANDAMANE, TUWALINDE, TUTASHINDANA NAO KWENYE SANDUKU LA KURA PEKEE SIFAHAMU KWA NINI SEREKALI IMESHIKWA NA WOGA.
Binafsi nashangaa Sana kuona serikali inawaogopa chadema Wakati hicho chama mtu mwenye akili timamu hawezi kukichagua.

Chama ambacho kiongozi wake mbinafsi na Kuna harufu ya ukanda wazi wazi halafu wanakiogopa na kuzuia maandamano, hapo ndipo wanakiongezea washabiki na wanakipaisha na kuwafanya wapate kura za huruma, wawaache waandamane hawana madhara hao. Kuwadhuia na kuwaua ni kulichafua taifa pasipo na sababu ya msingi.
 
Huko mahakamani mbona kutakuwa kutamu zaidi
Huyo aliyetajwa ataanikwa zaidi

Ova
 
Sasa kama akina mbowe na mnyika wamemuu kibao halafu wakaisingozia serikali unategemea nini
Katika hali isiyo ya kawaida Polisi wakiongozwa na Mafwele ambae anaogopwa mpaka na mihimili wamepanga kumpa John Mnyika kesi ya Mauaji , mipango ya kumkamata mda wowote imeshapangwa na inasubiri utekelezaji wake.

YANA MWISHO , HAMTAWEZA KUTUUA WOTE
sq
 
Katika hali isiyo ya kawaida Polisi wakiongozwa na Mafwele ambae anaogopwa mpaka na mihimili wamepanga kumpa John Mnyika kesi ya Mauaji , mipango ya kumkamata mda wowote imeshapangwa na inasubiri utekelezaji wake.

YANA MWISHO , HAMTAWEZA KUTUUA WOTE
Kama ni kweli kuna shida sana kwenye mfumo wa utawala
Au ndicho kikao cha jana na Mama??
 
Katika hali isiyo ya kawaida Polisi wakiongozwa na Mafwele ambae anaogopwa mpaka na mihimili wamepanga kumpa John Mnyika kesi ya Mauaji , mipango ya kumkamata mda wowote imeshapangwa na inasubiri utekelezaji wake.

YANA MWISHO , HAMTAWEZA KUTUUA WOTE
kwahivyo,
wanamuacha mwenye historia na uzoefu wa kukatisha maisha ya watu kwaajili ya uongozi wa juu wa chama, halafu wanahangaika na huyo wa kukimbia panya ?🐒
 
Naunganisha dots kwa nini Nchimbi alimtetea sana Mnyika ? Wakishapanga kumpa kesi mauaji? Naogopa sana hili jambo sanaa police wabaya sana wanatumika manufaa wanasiasa....
Upole na ukimya wa watanzania utawamaliza CDM,

Police wanaamini CDM hawana backup ya wananchi road ndiyo maana wanawafanya wanavyotaka.
 
TO BE TRUTH SIONI UHATARI WOWOTE WA CHADEMA KATIKA TAIFA HILI, WAACHWE WAANDAMANE, TUWALINDE, TUTASHINDANA NAO KWENYE SANDUKU LA KURA PEKEE SIFAHAMU KWA NINI SEREKALI IMESHIKWA NA WOGA.
Inasikitisha sana kuona chadema walivyopuuzia 4R na kuanzisha matusi majukwaani.
 
Back
Top Bottom