Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
awesu kaenda azamKaribuni tuelezane Tetesi za usajili VPL na FDL.
Taja jina la mchezaji anatoka timu gani, anaenda wapi
Naanza na Charles Ilanfya (KMC) kwenda Simba
Mwamnyeto (Coastal Union) kwenda Yanga/Simba/Azam
Awesu Juma (Kagera) kwenda Yanga
Kigi Makasi (Ndanda) kwenda Dodoma Jiji
mwamnyeto coastal wanataka m100 nadhani atachina hapo hapo
Sent from my M4 using JamiiForums mobile app