Tetesi kuhusu usajili Bongo kuelekea msimu 2020/21

Tetesi kuhusu usajili Bongo kuelekea msimu 2020/21

Labda kwa ufupi tu nikueleze
katika mfumo mpya wa kadi za mashabiki Simba wanapata TSH 14,000/- katika kila TSH 22,000/- anayolipia shabiki kupata kadi ya simba na kila mwaka shabiki atalipia Tsh 12,000/-
Lengo ni kupata mashabiki wenye kadi angalau M5
Mpaka Sasa mashabiki Zaidi ya M1 wamechukua kadi

piga hesabu 12,000*1,000,000
unapata B12 kwa mwaka
kwa pesa hii simba wanaweza mnunua mchezaji yoyote

MFANO MZURI NI LUIS MIKSON HIV UNAJUA SIMBA WAMELIPA KIASI GANI KWA ORLANDO PIRATES

achilia mbali pesa za udhamini

pia nikukumbushe miamala yote inayofanywa na mashabiki wa simba wenye kadi za equity kupitia equity bank kama kununua umeme kununua vocha kutoa pesa kulipa maji kama makato ni TSH 100 SIMBA anapata 50 na Equity 50
hebu jiulize kwa mwezi simba anaingiza kiasi gani

LAZIMA TUKUBALI KIUENDESHAJI SIMBA SASA WAKO MBALI MNO



Sent from my M4 using JamiiForums mobile app
Mbumbumbu katika ubora wake
 
Labda kwa ufupi tu nikueleze
katika mfumo mpya wa kadi za mashabiki Simba wanapata TSH 14,000/- katika kila TSH 22,000/- anayolipia shabiki kupata kadi ya simba na kila mwaka shabiki atalipia Tsh 12,000/-
Lengo ni kupata mashabiki wenye kadi angalau M5
Mpaka Sasa mashabiki Zaidi ya M1 wamechukua kadi

piga hesabu 12,000*1,000,000
unapata B12 kwa mwaka
kwa pesa hii simba wanaweza mnunua mchezaji yoyote

MFANO MZURI NI LUIS MIKSON HIV UNAJUA SIMBA WAMELIPA KIASI GANI KWA ORLANDO PIRATES

achilia mbali pesa za udhamini

pia nikukumbushe miamala yote inayofanywa na mashabiki wa simba wenye kadi za equity kupitia equity bank kama kununua umeme kununua vocha kutoa pesa kulipa maji kama makato ni TSH 100 SIMBA anapata 50 na Equity 50
hebu jiulize kwa mwezi simba anaingiza kiasi gani

LAZIMA TUKUBALI KIUENDESHAJI SIMBA SASA WAKO MBALI MNO



Sent from my M4 using JamiiForums mobile app
Nani kakudanganya hivi mkuu?
 
Eric rutanga yanga miaka 2
Screenshot_20200802-221616.jpg
 
Wewe una uhakika gani kama Mirrison hajasaini Yanga mna vichwa vigumu Yanga walimwambia kama hana mkataba akasaini kwenye timu inayomtaka bado haendi hapa ni kutumia akili ndogo tu hivi simba ni timu ya kuifananisha ba Mazembe iliyokupiga goli tano shame on you
hahahahaha kwa hiyooo na yanga sio timu ya kuifananisha na Simba? maana ishachezea vipigo vizito vya tano bilaa
 
Wewe una uhakika gani kama Mirrison hajasaini Yanga mna vichwa vigumu Yanga walimwambia kama hana mkataba akasaini kwenye timu inayomtaka bado haendi hapa ni kutumia akili ndogo tu hivi simba ni timu ya kuifananisha ba Mazembe iliyokupiga goli tano shame on you
Na we usijifananishe na simba aliekupiga 5 _0 na 4-1
 
Nasikia Utopolo aka Manyani fc wanafyeka Wachezaji kumi na sita leo
 
Simba haina uwezo wa kumsajili mchezaji yoyote mwenye mkataba achana na Uko Mazembe nazungumzia apa bongo. Kuhusu Morrison Kama hakutakua na makondokando Kuna mtu ndani ya Simba anakwenda kufungiwa kujihusisha na soka, na Timu inakwenda kulipa gharama Kama adhabu ya kuongea na mchezaji mwenye mkataba bila kuitaarifu klabu yake.
😂😂😂
 
Simba haina uwezo wa kumsajili mchezaji yoyote mwenye mkataba achana na Uko Mazembe nazungumzia apa bongo. Kuhusu Morrison Kama hakutakua na makondokando Kuna mtu ndani ya Simba anakwenda kufungiwa kujihusisha na soka, na Timu inakwenda kulipa gharama Kama adhabu ya kuongea na mchezaji mwenye mkataba bila kuitaarifu klabu yake.
Bongo kuna watu wanajiamini sna,ukiwasikiliza umekwisha
 
Back
Top Bottom