Tetesi kuhusu usajili Bongo kuelekea msimu 2020/21

Mbumbumbu katika ubora wake
 
Nani kakudanganya hivi mkuu?
 
hahahahaha kwa hiyooo na yanga sio timu ya kuifananisha na Simba? maana ishachezea vipigo vizito vya tano bilaa
 
Na we usijifananishe na simba aliekupiga 5 _0 na 4-1
 
Nasikia Utopolo aka Manyani fc wanafyeka Wachezaji kumi na sita leo
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Bongo kuna watu wanajiamini sna,ukiwasikiliza umekwisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…