TETESI: Mchakato wa Ajira za Ualimu kufanywa na TAMISEMI, utaratibu wa zamani kutumika

TETESI: Mchakato wa Ajira za Ualimu kufanywa na TAMISEMI, utaratibu wa zamani kutumika

Ze Heby

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2011
Posts
5,636
Reaction score
6,178
Wanajukwaa, muda mfupi uliopita Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wametoa tangazo la kusitishwa kwa mchakato wa usaili wa ajira za ualimu hadi hapo itakapoarifiwa tofauti.

Aidha, tetesi zilizopo ni kwamba, kelele zimekua nyingi na hivyo imeamriwa mchakato urudi TAMISEMI na usihusihe usaili (interview). Yani, vigezo vile vya zamani ambavyo ni umri na mwaka wa kumaliza shule ndio vitumike katika kuchagua watu wa kujaza nafasi hizo.

Ni masikitiko yetu wadau wa elimu kwamba tulikua tumeanza kupiga hatua kubwa kwenye kuboresha na kubadilisha kabisa ubora wa elimu yetu kwa kuchuja walimu wetu kwa kuzingatia merits na sio kuzoa zoa kama ambavyo ilikua inafanyika.

Najua Profesa Mkenda atakua anasikitika sana huko aliko maana najua yeye ni mdau mkubwa sana wa merits and competence.

Naomba kusisitiza, hizi bado ni tetesi na taarifa rasmi itatolewa na Mamlaka husika. Hongereni mliokua against interview ila mjue ni kaburi la elimu yetu na tutaendelea kuwa inferior ukilinganisha na wenzetu wakenya na wanyarwanda.​
 
Wanajukwaa, muda mfupi uliopita Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wametoa tangazo la kusitishwa kwa mchakato wa usaili wa ajira za ualimu hadi hapo itakapoarifiwa tofauti.

Aidha, tetesi zilizopo ni kwamba, kelele zimekua nyingi na hivyo imeamriwa mchakato urudi TAMISEMI na usihusihe usaili (interview). Yani, vigezo vile vya zamani ambavyo ni umri na mwaka wa kumaliza shule ndio vitumike katika kuchagua watu wa kujaza nafasi hizo.

Ni masikitiko yetu wadau wa elimu kwamba tulikua tumeanza kupiga hatua kubwa kwenye kuboresha na kubadilisha kabisa ubora wa elimu yetu kwa kuchuja walimu wetu kwa kuzingatia merits na sio kuzoa zoa kama ambavyo ilikua inafanyika.

Najua Profesa Mkenda atakua anasikitika sana huko aliko maana najua yeye ni mdau mkubwa sana wa merits and competence.

Naomba kusisitiza, hizi bado ni tetesi na taarifa rasmi itatolewa na Mamlaka husika. Hongereni mliokua against interview ila mjue ni kaburi la elimu yetu na tutaendelea kuwa inferior ukilinganisha na wenzetu wakenya na wanyarwanda.​
Wewe ni mwalimu?
 
Wanajukwaa, muda mfupi uliopita Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wametoa tangazo la kusitishwa kwa mchakato wa usaili wa ajira za ualimu hadi hapo itakapoarifiwa tofauti.

Aidha, tetesi zilizopo ni kwamba, kelele zimekua nyingi na hivyo imeamriwa mchakato urudi TAMISEMI na usihusihe usaili (interview). Yani, vigezo vile vya zamani ambavyo ni umri na mwaka wa kumaliza shule ndio vitumike katika kuchagua watu wa kujaza nafasi hizo.

Ni masikitiko yetu wadau wa elimu kwamba tulikua tumeanza kupiga hatua kubwa kwenye kuboresha na kubadilisha kabisa ubora wa elimu yetu kwa kuchuja walimu wetu kwa kuzingatia merits na sio kuzoa zoa kama ambavyo ilikua inafanyika.

Najua Profesa Mkenda atakua anasikitika sana huko aliko maana najua yeye ni mdau mkubwa sana wa merits and competence.

Naomba kusisitiza, hizi bado ni tetesi na taarifa rasmi itatolewa na Mamlaka husika. Hongereni mliokua against interview ila mjue ni kaburi la elimu yetu na tutaendelea kuwa inferior ukilinganisha na wenzetu wakenya na wanyarwanda.​
Mungu akuhurumie sana, kama unaamini usaili wa maswali hamsini ya kuchagua na maswali matano ya kujieleza unaeweza kubadilisha, Haiba, utendaji kazi, ubora, na undani wa mtu pole sana.. kuna matokeo ya form4, six na GPA, mimi usaili siwezi feli lakini hautanibadilisha chochote kitakachofanya nisilime mpunga niwapo shuleni ili mda huo niutumie kufundisha si usaili ni kipato na mazingira bora ya kazi.
 
Wanajukwaa, muda mfupi uliopita Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wametoa tangazo la kusitishwa kwa mchakato wa usaili wa ajira za ualimu hadi hapo itakapoarifiwa tofauti.

Aidha, tetesi zilizopo ni kwamba, kelele zimekua nyingi na hivyo imeamriwa mchakato urudi TAMISEMI na usihusihe usaili (interview). Yani, vigezo vile vya zamani ambavyo ni umri na mwaka wa kumaliza shule ndio vitumike katika kuchagua watu wa kujaza nafasi hizo.

Ni masikitiko yetu wadau wa elimu kwamba tulikua tumeanza kupiga hatua kubwa kwenye kuboresha na kubadilisha kabisa ubora wa elimu yetu kwa kuchuja walimu wetu kwa kuzingatia merits na sio kuzoa zoa kama ambavyo ilikua inafanyika.

Najua Profesa Mkenda atakua anasikitika sana huko aliko maana najua yeye ni mdau mkubwa sana wa merits and competence.

Naomba kusisitiza, hizi bado ni tetesi na taarifa rasmi itatolewa na Mamlaka husika. Hongereni mliokua against interview ila mjue ni kaburi la elimu yetu na tutaendelea kuwa inferior ukilinganisha na wenzetu wakenya na wanyarwanda.​
SERIKALI IWEKE PIA AJIRA ZA MKATABA
 
Ubovu na ubora wa mwalimu unapimwaje? Kwa kufanya interview?

Tatizo la elimu nchi hii linachangiwa na mambo mengi wa kuu..
Kuna sera, vitendea kazi, ushirikiano wa wazazi na walimu. N.k
Bora wewe siyo zero brain
 
Wanajukwaa, muda mfupi uliopita Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wametoa tangazo la kusitishwa kwa mchakato wa usaili wa ajira za ualimu hadi hapo itakapoarifiwa tofauti.

Aidha, tetesi zilizopo ni kwamba, kelele zimekua nyingi na hivyo imeamriwa mchakato urudi TAMISEMI na usihusihe usaili (interview). Yani, vigezo vile vya zamani ambavyo ni umri na mwaka wa kumaliza shule ndio vitumike katika kuchagua watu wa kujaza nafasi hizo.

Ni masikitiko yetu wadau wa elimu kwamba tulikua tumeanza kupiga hatua kubwa kwenye kuboresha na kubadilisha kabisa ubora wa elimu yetu kwa kuchuja walimu wetu kwa kuzingatia merits na sio kuzoa zoa kama ambavyo ilikua inafanyika.

Najua Profesa Mkenda atakua anasikitika sana huko aliko maana najua yeye ni mdau mkubwa sana wa merits and competence.

Naomba kusisitiza, hizi bado ni tetesi na taarifa rasmi itatolewa na Mamlaka husika. Hongereni mliokua against interview ila mjue ni kaburi la elimu yetu na tutaendelea kuwa inferior ukilinganisha na wenzetu wakenya na wanyarwanda.​
Umeanza vizuri ila umemaliza vibaya
 
Huo ni upuuzi Yani mtu amemaliza chuo miaka 10 imepita Leo umfanyie usahili? Nani anawafanyia usahili mawaziri na wabunge...... huo ni ujinga mkubwa Wala si hatua,huko Kuna bias mingi Sana,unampa Mtu maswali ya kuchagua kumpima? Then oral maswali kadhaa,hii ni low level ya kupata watumishi... waongeze vigezo vya mtu kufaulu kusomea ualimu tu
 
Huo ni upuuzi Yani mtu amemaliza chuo miaka 10 imepita Leo umfanyie usahili? Nani anawafanyia usahili mawaziri na wabunge...... huo ni ujinga mkubwa Wala si hatua,huko Kuna bias mingi Sana,unampa Mtu maswali ya kuchagua kumpima? Then oral maswali kadhaa,hii ni low level ya kupata watumishi... waongeze vigezo vya mtu kufaulu kusomea ualimu tu
Tunaongozwa na vilaza kweli kweli. Bahati mbaya Sasa wao wanajiona wajanja na wamewin maisha. Mbwa nyie Ma CCM na Viunga vyake.
 
Utumishi huu mzigo hawawezi kabisa, sijui ni punguani gani alipeleka hili wazo..
IMG-20241017-WA0057.jpg
 
Wanajukwaa, muda mfupi uliopita Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wametoa tangazo la kusitishwa kwa mchakato wa usaili wa ajira za ualimu hadi hapo itakapoarifiwa tofauti.

Aidha, tetesi zilizopo ni kwamba, kelele zimekua nyingi na hivyo imeamriwa mchakato urudi TAMISEMI na usihusihe usaili (interview). Yani, vigezo vile vya zamani ambavyo ni umri na mwaka wa kumaliza shule ndio vitumike katika kuchagua watu wa kujaza nafasi hizo.

Ni masikitiko yetu wadau wa elimu kwamba tulikua tumeanza kupiga hatua kubwa kwenye kuboresha na kubadilisha kabisa ubora wa elimu yetu kwa kuchuja walimu wetu kwa kuzingatia merits na sio kuzoa zoa kama ambavyo ilikua inafanyika.

Najua Profesa Mkenda atakua anasikitika sana huko aliko maana najua yeye ni mdau mkubwa sana wa merits and competence.

Naomba kusisitiza, hizi bado ni tetesi na taarifa rasmi itatolewa na Mamlaka husika. Hongereni mliokua against interview ila mjue ni kaburi la elimu yetu na tutaendelea kuwa inferior ukilinganisha na wenzetu wakenya na wanyarwanda.​
Masikitiko yako.
 
Miaka mingi sana. kila yakitoka matokeo either form 4, 6 na shule ya msingi. Asilimia % ya ufaulu imeongezeka. Wanafunzi wanafundishwa na walimu walioajiriwa pasipo usaili, Hivyo basi walimu wapo vizuri kwa aslimia kubwa.
Usaili kwa walimu ni siasa tu.
 
Back
Top Bottom