witacha matiku
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 722
- 237
Point to note.Mungu akuhurumie sana, kama unaamini usaili wa maswali hamsini ya kuchagua na maswali matano ya kujieleza unaeweza kubadilisha, Haiba, utendaji kazi, ubora, na undani wa mtu pole sana.. kuna matokeo ya form4, six na GPA, mimi usaili siwezi feli lakini hautanibadilisha chochote kitakachofanya nisilime mpunga niwapo shuleni ili mda huo niutumie kufundisha si usaili ni kipato na mazingira bora ya kazi.
Interview ni kitu mtu anajipanga ni sawa na Derby ya Pharaoh Zamalek vs Al ahly au Kariakoo Derby.
Ninachojua kwenye Ualimu priority number one is Commitment, readines & empathy then competence.
Ubora wa Elimu ni mojawapo na intensive assessment of learning/ teaching materials etc..
We encourage technological application in teaching/ learning process unfortunately we lack facilities & means to harness learning modality.
Taratibu tutafika we can't always compare us with neighbouring countries kwani wao wamefanya nini?
Kwa wale tuliosoma na Wakenya walichokuwa wanatuzidi ni Blah blah za Kingereza but point to consider tunawapita Wabongo tupo vizuri problem tumejifungia ndani sana tutembee kidogo tutajifunza kitu na tutajikubali maana hakuna cha maana huko Kenya na Rwanda.