TETESI: Mchakato wa Ajira za Ualimu kufanywa na TAMISEMI, utaratibu wa zamani kutumika

Kwa hali hii tutaendelea kuwa na walimu wabovu miaka na miaka.
Hakuna mwalimu mbovu wewe, mlipe vizuri, mpe vitendea kazi vya kutosha kulingana na kile anachokifundisha, msimamie vizuri na ufuatilie ufundishaji wake mara kwa mara huku ukimpa semina za kutosha.
Haya mambo ya usaili kwa walimu ni upuuzi tu, siasa na kuendeleza rushwa kwa wanaohusika
 
Ubovu sio walimu
Ubovu mfumo
Mfano interview mwalimu wenye GPA sawa
2015 na 2023
Huyu wa 2023 odds za kushinda ni uhakika maana bado vitu vipo moto kichwani
Pia mfumo wa elimu yetu ukiangalia udhaifu wa mitaala
 
Umeonge ukweli
Maana wenye GPA kubwa sio kuwa ndio wanaweza kufanya mwanafunzi afaulu
Changamoto kazini nyingi mno toka kwa jamii na wazazi na wanafunzi
Na anayeamini katika GPA yupo mjini hajatembea
Mfano apewe shule moja ndani ndani huko,atende tuone GPA yake inafanyaje muujiza
 
Mimi ni mwalimu napendelea sana usaili ufanyike ili kupata mwl mahiri.Mwaka wa kumaliza si tatizo maana kama ulisoma ulaelewa sioni tatizo. Shida yetu waalimu tunaogopa usaili hii inaonesha tulikariri masomo pa si kuelewa.
Hapana,usaili huja kulingana na mitaala ya sasa
Tangu 2015 mitaala imebadilika mara tatu hivi
Je huyo wa 2015 kupitia wapi
Pia gharama za safari nk mtaji mkubwa unapotea na wanarudi zero na kazi hawana
Pia Rushwa
Rushwa
Rushwa
 
Nakubaliana na wewe, serikali kama inatafuta walimu Bora ianzie kwenye matokeo ,wabadilishe vigezo vya kuwa mwalimu iwe kama unasomea rocket science, baada ya hapo hakuta kuwa na usaili kwa sababu walimu wanaomwagwa vyuo mtaani watakuwa wachache
 
Kwahiyo kada nyingine wanaofanya usaili hawana akili ile nyie walimu wa ccm ndo mna akili ????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…