Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,757
Sajili wote Ila tunajua mnafikaga wapi caf
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kweli ya chini ya kapetiZa chini ya kapeti zinasema sasa Manzoki anaenda YANGA. Na hii ni baada ya Simba kuamua kuridhika na MZUNGU
Its confirmed, ARAFAT yupo Uganda na ameshamaliza biashara..
Hata Hersi tulibisha hajaonana na Agent wa Aziz Kii. Kilichoendelea sote twakijua..Wapi ameandika kuwa amemsajili Manzoki?
Acha janja janja eleza kinagaubagaHata Hersi tulibisha hajaonana na Agent wa Aziz Kii. Kilichoendelea sote twakijua..
We ni punguani au?Acha janja janja eleza kinagaubaga
Unawashangaa simba kwa kumuacha? Kwa nini usiwashangae yanga kwa kutokumsajili au kuchelewa tu kumsajili.Mimi ni Yanga ila nawashangaa simba upumbav walioufanya kumuacha Manzoki... Na nimeona ktk mitandao ya kijamii Manzok amewahi kuandika anapenda kucheza pamoja na Aziz Ki na Mayele... Hivi hamjiulizi kwanin Yanga hawakusita kuvunja bank kumnunua Aziz Ki..? Si mnaona balaa lake uwanjani... Ukweli ni kwamba Yanga imetumia pesa nyingi kwa Aziz Ki nadhan ndio maana jamaa anajituma sana uwanjani pamoja kwamba ana uwezo mkubwa ila anajituma sana... Simba kiukweli hakuna mfungaji magoli wakutegemewa pale, nina imani michuano ya kimataifa simba this time haitafika Robo Fainali...
Labda wabadilishane na KagereAliekwamisha dili la MANZOKI ni Klab yake ya sasa.
Kuna tetesi nyingine zinasema Simba inampeleka Mzungu Singida na kubadilishana na Mbrazil.
Huyo Manzoki ana mkataba tayari wa Simba na atasajiliwa free dirisha dogo likifunguliwa.
Eti wanamkomoa simbashida ya yanga ni central defender sijui kwann wanahangaika na washambuiaji wakati wanao kibao, mpk beki ya kati hakuna combination nzuri yanga huwa naconcede kizembe sana
Arafat yuko Uganda ndugu yangu na manzoki kama sikosei hata rwanda hakwenda na team yake ya vipers, nafikiri yanga wamefika dau, hili litakuwa pigo takatifu baada ya lile la Mbuyi twiteMleta mada mbinu yako n nzuri Sana
Najua hapa umetumia njia ya kuwatumia wapinzan ili Simba waharakishe dili la manzok
Kwa vile viongoz wa simba tunao humu mitandaoni bila shaka watalifanyia Kaz Jambo lako
We kakamkubwa unaenda kuwa kakamdogo hivi pundeAcheni kijidanganya utopolo
Kweli kabisaSimba sio Manzoki, na Manzoki sio Simba!
Huwez kumpa pesa mchezaji anayeongezewa Bei na timu yake isivyo sawa Ili TU kuwafurahisha mashabiki
Acha uchawi mlishinda ngapi janaMimi ni Yanga ila nawashangaa simba upumbav walioufanya kumuacha Manzoki... Na nimeona ktk mitandao ya kijamii Manzok amewahi kuandika anapenda kucheza pamoja na Aziz Ki na Mayele... Hivi hamjiulizi kwanin Yanga hawakusita kuvunja bank kumnunua Aziz Ki..? Si mnaona balaa lake uwanjani... Ukweli ni kwamba Yanga imetumia pesa nyingi kwa Aziz Ki nadhan ndio maana jamaa anajituma sana uwanjani pamoja kwamba ana uwezo mkubwa ila anajituma sana... Simba kiukweli hakuna mfungaji magoli wakutegemewa pale, nina imani michuano ya kimataifa simba this time haitafika Robo Fainali...
sawa umemkosa manzoki sasa afrika nzima ndiyo ulikosa namba 9 ukaangukia kwa dejan anayesifiwa mikimbio?
Kama itakuwa n kweli basi litakuwa pigo takatifu mkuuArafat yuko Uganda ndugu yangu na manzoki kama sikosei hata rwanda hakwenda na team yake ya vipers, nafikiri yanga wamefika dau, hili litakuwa pigo takatifu baada ya lile la Mbuyi twite
Siyo kufanyia kazi, labda waanze kufanyie kazi namna ya kujitetea lakini inasikitisha sana kwa kweli mzaha mkubwa sana umefanyika