Tetesi nzito za kutisha: Kambole out, Manzoki in, Barbara shauri zako

Tetesi nzito za kutisha: Kambole out, Manzoki in, Barbara shauri zako

Sitashangaa hili likitokea kwani Yanga wapo "serious" sana kwani wanajua biashara yote ya mpira kuanzia jezi, viingilio, wadhamini, n.k. ni kwanza lazima timu ifanye vizuri uwanjani na si vinginevyo. Kama timu haifanyi vizuri uwanjani usitegemee kuingiza mapato ya kutosha. Nilitegemea baada ya Simba kuona dili la Manzoki gumu basi wangetafuta mshambuliaji mwingine mwenye uwezo kati ya walio wengi waliotapakaa Afrika lakini walichofanya wanajua wenyewe.

Lakini yote kwa yote Simba toka Babra awe na nguvu pale Simba amekuwa mgumu wa kutoa pesa ya kutosha kusajili wachezaji wa maana matokeo yake sasa hivi Simba ni kama tu Arsenal ya mzee Wenger. Inatongoza wachezaji wazuri halafu wanaishia kusajiliwa na timu nyingine rejea mfano wa Adebayor, Aziz Ki, Sylla na hili la Manzoki kama litakuwa kweli basi litakuwa balaa kubwa na Msimbazi hapatatosha.
 
Kama itakuwa n kweli basi litakuwa pigo takatifu mkuu

Lakn viongoz wa yanga n watu wa show off tu wakat mwingne hufanya haya na kujiwekeza karibu na watu maarufu kuwaumiza wapinzan tu
itakuwa kitu kibaya sana sbabu watu waliaminishwa jamaa anakuja na watu wana hamu ya namba 9 mkali ona kilichotokea sasa
 
Kila siku Manzoki, Manzoki. Ina maana timu yoyote itakayomsajili moja kwa moja itachukua ubingwa wa Africa au? Kwani hiyo club yake anayochezea kwa sasa ameifikisha hatua gani kwenye mashindano ya CAF msimu uliopita.
Mpira ni biashara kama biashara nyingine. Huwezi sajili mchezaji kisa kuna timu shindani inataka kumsajili.
Utafikiri Simba inaenda kushuka daraja bila Manzoki. Kina Sarpong, Molinga, Mukoko Tonombe wako wapi.
Na yule tulieambiwa anadaka mpaka mishale sasa hivi katika mechi 4 kashapigwa goli 7.
 
Sitashangaa hili likitokea kwani Yanga wapo "serious" sana kwani wanajua biashara yote ya mpira kuanzia jezi, viingilio, wadhamini, n.k. ni kwanza lazima timu ifanye vizuri uwanjani na si vinginevyo. Kama timu haifanyi vizuri uwanjani usitegemee kuingiza mapato ya kutosha. Nilitegemea baada ya Simba kuona dili la Manzoki gumu basi wangetafuta mshambuliaji mwingine mwenye uwezo kati ya walio wengi waliotapakaa Afrika lakini walichofanya wanajua wenyewe.

Lakini yote kwa yote Simba toka Babra awe na nguvu pale Simba amekuwa mgumu wa kutoa pesa ya kutosha kusajili wachezaji wa maana matokeo yake sasa hivi Simba ni kama tu Arsenal ya mzee Wenger. Inatongoza wachezaji wazuri halafu wanaishia kusajiliwa na timu nyingine rejea mfano wa Adebayor, Aziz Ki, Sylla na hili la Manzoki kama litakuwa kweli basi litakuwa balaa kubwa na Msimbazi hapatatosha.
ndiyo maana tulishauri apelekwe marketing ,nguvu apewe magori,hivi akpan si wangemchukua hata tonombe mukoko?
Bado unawatesa benchi la ufundi na matamanio ya nusu fainali caf kweli jamani? ahly wamekupa bilions 2.1 kwa konde boy wewe kutoa hiyo 400 kwa vipers roho inauma bora ukaokoteze mzungu?

Waseme wametoa ngapi kwa Dejan kama isingetosha kusogea west africa kuleta lishambuliaji la maana
 
Kila siku Manzoki, Manzoki. Ina maana timu yoyote itakayomsajili moja kwa moja itachukua ubingwa wa Africa au? Kwani hiyo club yake anayochezea kwa sasa ameifikisha hatua gani kwenye mashindano ya CAF msimu uliopita.
Mpira ni biashara kama biashara nyingine. Huwezi sajili mchezaji kisa kuna timu shindani inataka kumsajili.
Utafikiri Simba inaenda kushuka daraja bila Manzoki. Kina Sarpong, Molinga, Mukoko Tonombe wako wapi.
Na yule tulieambiwa anadaka mpaka mishale sasa hivi katika mechi 4 kashapigwa goli 7.
wakati wanashoboka naye hadi kukimbia bei walikuwa wanafikiria nini au ni sizitaki mbichi hizi? sasa mbadala wa manzoki ndo mzungu siyo?
Mukoko na akpan yupi bora?
 
Unawashangaa simba kwa kumuacha? Kwa nini usiwashangae yanga kwa kutokumsajili au kuchelewa tu kumsajili.
Lini umewah kusikia Yanga wamemtaka Manzoki... Mayele na Makambo wanatosha mzee
 
Simba sio Manzoki, na Manzoki sio Simba!
Huwez kumpa pesa mchezaji anayeongezewa Bei na timu yake isivyo sawa Ili TU kuwafurahisha mashabiki
Afadhali umemjibu huyo dogo, maana ana mawazo ya kitoto sana.

Hajui kuwa simba ina viongozi wenye akili kuliko yeye

#nguvu moja!
 
Afadhali umemjibu huyo dogo, maana ana mawazo ya kitoto sana.

Hajui kuwa simba ina viongozi wenye akili kuliko yeye

#nguvu moja!
jibu swali, kama wana akili sana mbona walihangaika naye manzoki kabla ya kukimbia bei? akili zao kubwa ndo zimeona mzungu ni mbadala sahihi na anaipeleka simba nusu fainali caf?
 
Yanga watuletee Dario mbrazili na manzoki, Ducapel na Makambo waoelekwe kwa mkopo Singida, hapo uwakika wa kufika robo final Caf ni 90%
 
Mimi ni Yanga ila nawashangaa simba upumbav walioufanya kumuacha Manzoki... Na nimeona ktk mitandao ya kijamii Manzok amewahi kuandika anapenda kucheza pamoja na Aziz Ki na Mayele... Hivi hamjiulizi kwanin Yanga hawakusita kuvunja bank kumnunua Aziz Ki..? Si mnaona balaa lake uwanjani... Ukweli ni kwamba Yanga imetumia pesa nyingi kwa Aziz Ki nadhan ndio maana jamaa anajituma sana uwanjani pamoja kwamba ana uwezo mkubwa ila anajituma sana... Simba kiukweli hakuna mfungaji magoli wakutegemewa pale, nina imani michuano ya kimataifa simba this time haitafika Robo Fainali...
Na Yanga itafika hatua ipi ?
 
Mleta mada mbinu yako n nzuri Sana

Najua hapa umetumia njia ya kuwatumia wapinzan ili Simba waharakishe dili la manzok

Kwa vile viongoz wa simba tunao humu mitandaoni bila shaka watalifanyia Kaz Jambo lako
Kwani Simba bado wanafanya usajili ?
 
Mleta mada mbinu yako n nzuri Sana

Najua hapa umetumia njia ya kuwatumia wapinzan ili Simba waharakishe dili la manzok

Kwa vile viongoz wa simba tunao humu mitandaoni bila shaka watalifanyia Kaz Jambo lako
Umemaliza kila kitu
 
jibu swali, kama wana akili sana mbona walihangaika naye manzoki kabla ya kukimbia bei? akili zao kubwa ndo zimeona mzungu ni mbadala sahihi na anaipeleka simba nusu fainali caf?
Tulia kijana, Simba sio mali yako ina wenyewe na wanajua walifanyalo.

Tafuta hela kijana kisha anzisha timu yako acha kuponda timu ya wenyewe
 
Usajili wa CAF si umefungwa tangu tar 15? Sasa atatumika wapi??
Mna uhakika ana kiwango kizuri?? Isije kuwa mkatuletea akina OKWA sijui KOKWA wachezaji wafupi kama PUMBU
Naona kibwana shomari umekuja kutoa ya moyoni humu
 
Mimi ni Yanga ila nawashangaa simba upumbav walioufanya kumuacha Manzoki... Na nimeona ktk mitandao ya kijamii Manzok amewahi kuandika anapenda kucheza pamoja na Aziz Ki na Mayele... Hivi hamjiulizi kwanin Yanga hawakusita kuvunja bank kumnunua Aziz Ki..? Si mnaona balaa lake uwanjani... Ukweli ni kwamba Yanga imetumia pesa nyingi kwa Aziz Ki nadhan ndio maana jamaa anajituma sana uwanjani pamoja kwamba ana uwezo mkubwa ila anajituma sana... Simba kiukweli hakuna mfungaji magoli wakutegemewa pale, nina imani michuano ya kimataifa simba this time haitafika Robo Fainali...
Simba wanamsubiria awe free agent ndio wamchukue,sasa hapo ule ukubwa wao wanaojinasibu uko wapi!
 
Chunguza Sana mada zake mara nyingi anatumia mbinu ya kumsifia mpinzan kujiimarisha yeye
Ina manaa social media hamjaona hizi tetesi, mimi niko serious siyo utani,kama ilishindikana manzoki nini tatizo likawa kwenda kutafuta strikers wengine afrika? au mzungu kaja bure?
 
Back
Top Bottom