KAGAMEE
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 4,457
- 5,454
Namjua vizuri sana,Yaani huyu akiandika mistari miwili tu ushajua ni yeye.Ujinga haujifichiChunguza Sana mada zake mara nyingi anatumia mbinu ya kumsifia mpinzan kujiimarisha yeye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namjua vizuri sana,Yaani huyu akiandika mistari miwili tu ushajua ni yeye.Ujinga haujifichiChunguza Sana mada zake mara nyingi anatumia mbinu ya kumsifia mpinzan kujiimarisha yeye
Kwahiyo ikitokea Manzoki kafa, na Simba kwishiney?? Au?we ni mjinga sana, bila manzoki kuna dejan, hivi ushajiuliza vipi kama upande wa pili wana manzoki na mayele kama double strikers halafu huku una kiyombo na dejan, get out here, fool.
Na hao viongozi wapuuzi waliokimbia bei ya kumnunua afrika nzima hawakuona mchezaji mwingine? yes inamanisha no manzoki no simba attacking line ndiyo maana wanamtegea wamchukue bure december
Pumba tupu. Aliyekwambia mpira ni urefu nani? Au ndo nyie wadada mnaoshabikia mpira kwa msukumo wa waume zenu?Usajili wa CAF si umefungwa tangu tar 15? Sasa atatumika wapi??
Mna uhakika ana kiwango kizuri?? Isije kuwa mkatuletea akina OKWA sijui KOKWA wachezaji wafupi kama PUMBU
akili yako ina makamasi we jinga square, hapo ulipo kwenyewe bando hauna unatumia freebasics halafu unapiga mikwara ya kuchangia klabuKwahiyo ikitokea Manzoki kafa, na Simba kwishiney?? Au?
Acheni hizo nyie mashabiki maandazi, hata kuchangia club hauchangii zaidi ya makelele tu
Itaumiza sana wana simba hii na itawafanya yanga pale mbele kuwa unstoppable mnooo,kama issue yake ilisumbua kweli afrika hii ilishindikana kupata mchezaji mwingine jamaniHii issue ni 50/50 ikitokea Manzoki akaenda Yanga SC sitashangaa sana, kwasababu inaonekana Manzoki mwenyewe hajielewi, nadai mkataba wake na Vipers unaisha mwezi wa kumi, huku Vipers wakisema ana mkataba mpaka 2024.
Kama Yanga wakijilipua wakatoa mil 400 wanaweza kumpata, Simba SC kwasasa wanaonekana wamepunguza sana mawasiliano naye.
jikite kwenye mada acha umbeya, hatujuani we punguaniNamjua vizuri sana,Yaani huyu akiandika mistari miwili tu ushajua ni yeye.Ujinga haujifichi
Kwa Yanga hii ya sasa, lolote linawezekana.Hakuna ukweli hapo aise
siku hizi hata nguvu ya kuwatania inaanza kupungua kuna kitu nakiona kikubwa sana kinajengeka utopoloni halafu simba inaenda in reverse taratibuuuuuKwa Yanga hii ya sasa, lolote linawezekana.
kama unamuona mayele mkali basi pata picha kwamba manzoki alikuwa anamuweka mayele benchi pale as vitaKwa hiyo Manzoki ni zaidi ya Kambole?
Anaweza kusajiliwa ili kuikomoa Simba tu hata aje asugue bench chezea jeuri ya pesa weweKwa nilivyoiona Yanga, ni ngumu kumsajili Manzok, ni ngumu sana hapo, Labda acheze kama mshambuliaji wa pembeni ila kama kati pamejaa.
Yanga wanaongoza kwa tetesi, mara mzungu wa singida wanabadilishana na Moloko.
Sasa wapo kwa manzoki..
Ni tetesi tu
Yanga watamtangaza Dario Frederico kutoka Singida BS na siyo Manzoki.Dada msomi, dada mzungu ,msouth america, mlatino , m colombia, miss gonzalez, masihara yakizidi hutumbua usaha, the chickens are coming home to roost
Hizi tetesi kama ni kweli narudia tena kama ni kweli aisee utakuwa kwenye wakati mgumu sana , yaani hadi nakuonea huruma kwa kweli najaribu kujenga picha ile loyal fan base yako including mimi itakavyokuwa na hasira na wewe
Msimu ulioisha kila mtu alijua lazima waje namba 6 na namba 9 wanaojua kwelikweli siyo wa kubahtisha , mkaamua kuleta ma pro Dejan na Akpan, na tatizo bado lipo , dah Mungu wangu huku mkiweka malengo ya nusu fainali CAF
Sasa dada wakati tunaendelea kusubiri wachezaji wa simba wazoee na kujifunza mikimbio ya mzungu habari zinadai yanga wanamchukua manzoki na wanamuacha kambole na kama inavyojulikana mwisho wa kupeleka majina CAF kwa faini ni 30th august
Nakutakia kila la kheri sana katika ukurasa mpya wa kujitetea kwa wanasimba hakika kama ni kweli utakuwa umepigwa bonge la kofi na Engineer Hersi na itakuwa aibu ya mwaka ,maana mnapenda pesa ziingie tu kutoka ni shida
Narudia tena itafika point hadi utaona aibu kutoka nje ya nyumba yako labda mikimbio ya mzungu iwe imeanza kuzaa matunda.
Poleni kama hizo tetesi zitakuwa ni za kweli. Maana kwa Stephen Aziz Kii nako mambo yalikuwa hivi hivi.Nimefatilia kwa kina uhakika nilioupata no Manzoki.
dah!,,Hanse Pop angekuepo angetumia hata fedha zake binafsi ili tu timu itimize malengo kwa Manzoki.
Simba mm mpaka Leo haina 6 wa uhakika. Niliamini Akpan ni suluhisho kumbe bado Sana. Lakini ninachosema kuhusu Manzoki si lazima awe yeye. Washambuliaji wako wengi wachukue mwingine.na wewe kaanzishe forum yako uandike pumba zako kwa nini una comment kwenye forum ya Mexence Melo?
sawa una haki ya maoni yako, maswali yangu ni haya: KAMA SIMBA INA LENGO LA KUFIKA NUSU FAINALI NA TANGU USAJILI UNAANZA ILIJULIKANA NAMBA 6 NA 9 NI SHIDA , JE AKPAN NA DEJAN NI SULUHISHO?
AFRIKA NZIMA WALIKOSEKANA WACHEZAJI WA KU COVER HIZO NAMBA ? SIYO LAZIMA MANZOKI
Yanga watuletee Dario mbrazili na manzoki, Ducapel na Makambo waoelekwe kwa mkopo Singida, hapo uwakika wa kufika robo final Caf ni 90%