Tetesi nzito za kutisha: Kambole out, Manzoki in, Barbara shauri zako

Tetesi nzito za kutisha: Kambole out, Manzoki in, Barbara shauri zako

we ni mjinga sana, bila manzoki kuna dejan, hivi ushajiuliza vipi kama upande wa pili wana manzoki na mayele kama double strikers halafu huku una kiyombo na dejan, get out here, fool.
Na hao viongozi wapuuzi waliokimbia bei ya kumnunua afrika nzima hawakuona mchezaji mwingine? yes inamanisha no manzoki no simba attacking line ndiyo maana wanamtegea wamchukue bure december
Kwahiyo ikitokea Manzoki kafa, na Simba kwishiney?? Au?

Acheni hizo nyie mashabiki maandazi, hata kuchangia club hauchangii zaidi ya makelele tu
 
Usajili wa CAF si umefungwa tangu tar 15? Sasa atatumika wapi??
Mna uhakika ana kiwango kizuri?? Isije kuwa mkatuletea akina OKWA sijui KOKWA wachezaji wafupi kama PUMBU
Pumba tupu. Aliyekwambia mpira ni urefu nani? Au ndo nyie wadada mnaoshabikia mpira kwa msukumo wa waume zenu?

Miquisone, Sakho na sampuli nyingine kama hizo shughuli yao inafahamika kwenye pitch.

Sakho hadi kachukua kiatu kwa goli bora Africa nzima na ufupi wake. Acheni kufikiria mambo kwa mazoea.
 
Hii issue ni 50/50 ikitokea Manzoki akaenda Yanga SC sitashangaa sana, kwasababu inaonekana Manzoki mwenyewe hajielewi, nadai mkataba wake na Vipers unaisha mwezi wa kumi, huku Vipers wakisema ana mkataba mpaka 2024.

Kama Yanga wakijilipua wakatoa mil 400 wanaweza kumpata, Simba SC kwasasa wanaonekana wamepunguza sana mawasiliano naye.
 
Kwahiyo ikitokea Manzoki kafa, na Simba kwishiney?? Au?

Acheni hizo nyie mashabiki maandazi, hata kuchangia club hauchangii zaidi ya makelele tu
akili yako ina makamasi we jinga square, hapo ulipo kwenyewe bando hauna unatumia freebasics halafu unapiga mikwara ya kuchangia klabu
Dejan ndiye mbadala wa manzoki? alikosekana striker mwingine afrika? SIMBA IMEKOSA HELA YA KUNUNUA QUALITY PLAYERS SABABU MASHABIKI MAANDAZI HATUCHANGII ?
 
Hii issue ni 50/50 ikitokea Manzoki akaenda Yanga SC sitashangaa sana, kwasababu inaonekana Manzoki mwenyewe hajielewi, nadai mkataba wake na Vipers unaisha mwezi wa kumi, huku Vipers wakisema ana mkataba mpaka 2024.

Kama Yanga wakijilipua wakatoa mil 400 wanaweza kumpata, Simba SC kwasasa wanaonekana wamepunguza sana mawasiliano naye.
Itaumiza sana wana simba hii na itawafanya yanga pale mbele kuwa unstoppable mnooo,kama issue yake ilisumbua kweli afrika hii ilishindikana kupata mchezaji mwingine jamani

tukilalamika tunaitwa mashabiki maandazi tusiochangia kitu kumbe hata kina M bet wanatoa mabilioni ya pesa kwa kuvutiwa na mtaji watu wa haohao mashabiki maandazi
 
Dada msomi, dada mzungu ,msouth america, mlatino , m colombia, miss gonzalez, masihara yakizidi hutumbua usaha, the chickens are coming home to roost

Hizi tetesi kama ni kweli narudia tena kama ni kweli aisee utakuwa kwenye wakati mgumu sana , yaani hadi nakuonea huruma kwa kweli najaribu kujenga picha ile loyal fan base yako including mimi itakavyokuwa na hasira na wewe

Msimu ulioisha kila mtu alijua lazima waje namba 6 na namba 9 wanaojua kwelikweli siyo wa kubahtisha , mkaamua kuleta ma pro Dejan na Akpan, na tatizo bado lipo , dah Mungu wangu huku mkiweka malengo ya nusu fainali CAF

Sasa dada wakati tunaendelea kusubiri wachezaji wa simba wazoee na kujifunza mikimbio ya mzungu habari zinadai yanga wanamchukua manzoki na wanamuacha kambole na kama inavyojulikana mwisho wa kupeleka majina CAF kwa faini ni 30th august

Nakutakia kila la kheri sana katika ukurasa mpya wa kujitetea kwa wanasimba hakika kama ni kweli utakuwa umepigwa bonge la kofi na Engineer Hersi na itakuwa aibu ya mwaka ,maana mnapenda pesa ziingie tu kutoka ni shida

Narudia tena itafika point hadi utaona aibu kutoka nje ya nyumba yako labda mikimbio ya mzungu iwe imeanza kuzaa matunda.
Yanga watamtangaza Dario Frederico kutoka Singida BS na siyo Manzoki.

Muda utaamua.
 
Nimefatilia kwa kina uhakika nilioupata no Manzoki.
dah!,,Hanse Pop angekuepo angetumia hata fedha zake binafsi ili tu timu itimize malengo kwa Manzoki.
 
Nimefatilia kwa kina uhakika nilioupata no Manzoki.
dah!,,Hanse Pop angekuepo angetumia hata fedha zake binafsi ili tu timu itimize malengo kwa Manzoki.
Poleni kama hizo tetesi zitakuwa ni za kweli. Maana kwa Stephen Aziz Kii nako mambo yalikuwa hivi hivi.
 
na wewe kaanzishe forum yako uandike pumba zako kwa nini una comment kwenye forum ya Mexence Melo?

sawa una haki ya maoni yako, maswali yangu ni haya: KAMA SIMBA INA LENGO LA KUFIKA NUSU FAINALI NA TANGU USAJILI UNAANZA ILIJULIKANA NAMBA 6 NA 9 NI SHIDA , JE AKPAN NA DEJAN NI SULUHISHO?
AFRIKA NZIMA WALIKOSEKANA WACHEZAJI WA KU COVER HIZO NAMBA ? SIYO LAZIMA MANZOKI
Simba mm mpaka Leo haina 6 wa uhakika. Niliamini Akpan ni suluhisho kumbe bado Sana. Lakini ninachosema kuhusu Manzoki si lazima awe yeye. Washambuliaji wako wengi wachukue mwingine.
 
Kwani si tayari kuna mzungu pale...
 
Yanga watuletee Dario mbrazili na manzoki, Ducapel na Makambo waoelekwe kwa mkopo Singida, hapo uwakika wa kufika robo final Caf ni 90%

Ndoto za alinacha, za mchana kweupeeeee
 
Back
Top Bottom