nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Wenye simba ni kina nani ndugu?Tulia kijana, Simba sio mali yako ina wenyewe na wanajua walifanyalo.
Tafuta hela kijana kisha anzisha timu yako acha kuponda timu ya wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye simba ni kina nani ndugu?Tulia kijana, Simba sio mali yako ina wenyewe na wanajua walifanyalo.
Tafuta hela kijana kisha anzisha timu yako acha kuponda timu ya wenyewe
Ohooooo asante sana mkuu basi RIP simba sababu mastermind keshakufa,na mastermind akiamka leo kutoka kaburini atapiga watu risasi KWA HASIRA ...sasa magori hakujifunza hata kitu kimoja cha kusaidia, sababu yeye personally kaenda Uganda kuhangaikia deal la manzoki kafeli leo tunaambiwa kwani manzoki kitu gani?Magori alikuwa geresha tu kwenye usajili mastermind ya sajili zote zilizotukuka simba alikuwa zakaria hanspope r.i.p
Nasema tu wewe huijui simba
Mzungu alikuwa hana timu misimu miwili iliyopita, kaja bure huyoIna manaa social media hamjaona hizi tetesi, mimi niko serious siyo utani,kama ilishindikana manzoki nini tatizo likawa kwenda kutafuta strikers wengine afrika? au mzungu kaja bure?
Umeuliza kimhemko sana na sitokujibuOhooooo asante sana mkuu basi RIP simba sababu mastermind keshakufa,na mastermind akiamka leo kutoka kaburini atapiga watu risasi KWA HASIRA ...sasa magori hakujifunza hata kitu kimoja cha kusaidia, sababu yeye personally kaenda Uganda kuhangaikia deal la manzoki kafeli leo tunaambiwa kwani manzoki kitu gani?
Sasa kama magori CEO alikuwa geresha kulikuwa na mastermind Hanspope nyuma, hili geresha la sasa nani mastermind wake anayetuletea kina Dejan, TAFADHALI NIJIBU WEWE UIJUAYE SIMBA VIZURI
kwa ubahili uliopo hilo naamini, huwezi niambia eti afrika nzima walikosa striker , EMBU ANGALIA LILE JITU NAMBA 9 LA ST GEORGE, JAMAA LA IVORY COAST , yaanai dahMzungu alikuwa hana timu misimu miwili iliyopita, kaja bure huyo
WalioianzishaWenye simba ni kina nani ndugu
Wanawake wakiwezeshwa wanaweza.. Tuendelee KUMTIA moyo Babra ten teh teh tehkwa ubahili uliopo hilo naamini, huwezi niambia eti afrika nzima walikosa striker , EMBU ANGALIA LILE JITU NAMBA 9 LA ST GEORGE, JAMAA LA IVORY COAST , yaanai dah
kwa sababu huna jibu wewe acha kujifanya janjajanja, basi tufanye simba imekufa kiusajili na mastermind HanspopeUmeuliza kimhemko sana na sitokujibu
Kina nani?Walioianzisha
Magori tunaye hpa tbta Kila siku anakili kuwa manzoki mpaka hawe huru wamchukue lkni pesa wanayotaka hao vipers babra kakataa kutoa mzgokwa ubahili uliopo hilo naamini, huwezi niambia eti afrika nzima walikosa striker , EMBU ANGALIA LILE JITU NAMBA 9 LA ST GEORGE, JAMAA LA IVORY COAST , yaanai dah
Ni shida sana kujibu maswali yako ya kitoto.Kina nani?
asante kwa hilo jibu mkuu wengi tulihisi hivyo sababu hata ile picha wakiwa dsm na magori alivyokuja na vipers alikuwa very happyMagori tunaye hpa tbta Kila siku anakili kuwa manzoki mpaka hawe huru wamchukue lkni pesa wanayotaka hao vipers babra kakataa kutoa mzgo
bado mdogo kumbekwa sababu huna jibu wewe acha kujifanya janjajanja, basi tufanye simba imekufa kiusajili na mastermind Hanspope
na huyu dada ni geresha tu nyuma yake kuna MASTERMIND LIJINGA KABISA LILILOTIBU TATIZO LA NAMBA 6 NA 9 KWA USAJILI WA AKPAN NA DEJAN
umeamua kujibu siyo umeahirisha kususa? iwe Kaburu, iwe Hanspope, iwe aveva.....tunazungumzia situationya sasa hivi hapa kama unamzungumzia marehemu era yake ishapita, nani mastermind aliyeamua kutibu tatizo la namba6 na 9 kwa kuwaleta akpan na dejan?bado mdogo kumbe
unajua aliemleta chama simba
peter banda
mosses phiri
gerson fraga
emmanuel okwi
shomari kapombe baada ya kutoka azam
Morison?
Na wewe kwa akili zako timamu unahisi Barbra anasajili tena? labda aletewe mzungu mwingine wa bure toka serbia ili amtoe banda kwa mkopo au amuuze sakho kama anavyorudiarudia kila siku kwenye interviews zakeTimu haiwezi kusajili kwa mihemuko kutoka kwako
Kila kitu kina mipango yake kwani dirisha la usajili limefungwa?
naomba tetesi hizi zisiwe za kweli zitaumiza wanasimba wengi roho sana sana tu kwa sababu tatu kuu:TULIAMINISHWA *KWAMBA SIMBA INAPATA MCHEZAJI YOYOTE INAYEMTAKA ILIMSHINDWA ADEBAYOR TUYanga wanaongoza kwa tetesi, mara mzungu wa singida wanabadilishana na Moloko.
Sasa wapo kwa manzoki..
Ni tetesi tu
Kwahiyo bila Manzoki hakuna Simba Tena????? mkuu afya yako ya akili haipo sawa labdaBro hii kama ni kweli itakuwa mwisho wake hana comeback nyingine labda Dejan aanze kufunga magoli
we ni mjinga sana, bila manzoki kuna dejan, hivi ushajiuliza vipi kama upande wa pili wana manzoki na mayele kama double strikers halafu huku una kiyombo na dejan, get out here, fool.Kwahiyo bila Manzoki hakuna Simba Tena????? mkuu afya yako ya akili haipo sawa labda