Tetesi nzito za kutisha: Kambole out, Manzoki in, Barbara shauri zako

Simba sio Manzoki, na Manzoki sio Simba!
Huwez kumpa pesa mchezaji anayeongezewa Bei na timu yake isivyo sawa Ili TU kuwafurahisha mashabiki
Unayajua maneno ya mkosaji? Unikumbuka ile hadithi ya sizitaki mbichi hizi?
 
Yule demu papuchi yake ndiyo iliyomfanya akabidhiwe timu....sasa wewe LOFA unayo papuchi? mwacheni afanye anachoambiwa wakati wa kugegedwa na ponjori
 
Hakuna Biashara mbovu kama ya kubembeleza Mtu mkorofi akuuzie kitu.
We, acha tu. Kuna kiwanja jirani yangu kinauzwa nikamtafuta mmiliki akasema hauzi nikabembeleza akasema nimpe 60m, bei ya soko 15m. Hawa vipers....
 
Bila tetesi hakuna soka ni kweli ila wakati mwingne kinachoitwa tetesi ni uzushi tu usiokua na uti wa mgongo.
 
Ifike hatua suala la mamzoki liwe clearly, km anakuja au hafiki,
Tumechoka na heka heka hizi lol.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…