Kingfisher
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 4,740
- 7,679
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi karibuni nina mpango wa kuanzisha operesheni nyakua Mawigi. Nitaanzia Posta
Ndio umeandika nini sasa... your mind can't comprehend what is being discussedYaan kwa mada kama izi na watu watanzania wanatokea kukubaliana na ujinga huu ndo nazidi kupata wasiwasi na akili na utu wa mtanzania, yaan watanzania ata mnyama nyumbu anawazidi by far acheni kuishi maisha ya bendera nyie, mlipewa akili bure mzitumie basi yaan unakuta limwanaume linashabikia hiii ujinga kama hautaki wanawake wavae izo nywele kaongee na mke wako ama demu wako tu, mamaako au dadaako wenyewe watakuona kaka sasa unakuwa na tabia za kishoga ata asee, pambaneni na hali zenu huu udikteta pelekeni vyumbani kwenu na muwache watoto wazur wafanye wanavyotaka kwa uhuru wao, umaskini unawatea roho mbaya sana watanzania pambaneni na hali zenu
WAKATI HUO HOU MADEMU UNAO WATONGOZA WOOTE WANAVAA MAWIGI!!!Mi natamani hii ipitishwe hata leo leo *****
Naomba hizi tetesi ziwe za kweli aisee. Watumiaji wote anzeni kufanya mazoezi ya kuwa natural, maana pengine na vitu vingine vikazuiwa pia.
Maswala unakuta eti Chausiku nae ananywele hadi mgongoni, au Pili anang'aa usoni alafu viwiko kama aliegemea vumbi la mkaa au oil chafu.
Huu mwaka ndio mwisho wa hayo mambo.
MSISEME HAMKUAMBIWA
Analyse
Binti.... hiyo wigi uliyotundika hapo kwa kichwa yako ni bei ngapi?
hahahhaaaa.. sikua nimeuona mama. wanaota hao. wanataka tusivae mawig tufanane na babu zetu eeh. ngoja niongeze stock mapema ili ikifika huo mwaka niwe nayo kabisa. bby ujumbe itakua kaupata hapa wa kuongeza mawig
Nakumbuka kauli mbiu yako kuwa mambo ya natural tuachie misituπππππhahahhaaaa.. sikua nimeuona mama. wanaota hao. wanataka tusivae mawig tufanane na babu zetu eeh. ngoja niongeze stock mapema ili ikifika huo mwaka niwe nayo kabisa. bby ujumbe itakua kaupata hapa wa kuongeza mawig
eeeh. mambo ya natural kwenye nywele siyawezi. bora watoe powder na lipstick nitavumila sio nywele jamani.Nakumbuka kauli mbiu yako kuwa mambo ya natural tuachie misituπππππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wenye vichwa kama matofali wataisoma
Wavae baghalashia
FALSE!!!!!!Naomba hizi tetesi ziwe za kweli aisee. Watumiaji wote anzeni kufanya mazoezi ya kuwa natural, maana pengine na vitu vingine vikazuiwa pia.
Maswala unakuta eti Chausiku nae ananywele hadi mgongoni, au Pili anang'aa usoni alafu viwiko kama aliegemea vumbi la mkaa au oil chafu.
Huu mwaka ndio mwisho wa hayo mambo.
MSISEME HAMKUAMBIWA
Analyse