Tetesi : Uvaaji na uingizaji mawig nchini kupigwa marufuku ifikapo 2019

Tetesi : Uvaaji na uingizaji mawig nchini kupigwa marufuku ifikapo 2019

Yaan kwa mada kama izi na watu watanzania wanatokea kukubaliana na ujinga huu ndo nazidi kupata wasiwasi na akili na utu wa mtanzania, yaan watanzania ata mnyama nyumbu anawazidi by far acheni kuishi maisha ya bendera nyie, mlipewa akili bure mzitumie basi yaan unakuta limwanaume linashabikia hiii ujinga kama hautaki wanawake wavae izo nywele kaongee na mke wako ama demu wako tu, mamaako au dadaako wenyewe watakuona kaka sasa unakuwa na tabia za kishoga ata asee, pambaneni na hali zenu huu udikteta pelekeni vyumbani kwenu na muwache watoto wazur wafanye wanavyotaka kwa uhuru wao, umaskini unawatea roho mbaya sana watanzania pambaneni na hali zenu
Ndio umeandika nini sasa... your mind can't comprehend what is being discussed
 
Raynavero Utavaa Nini Sasa Huko Kichwani
 
Afadhali amina miguno aache kuvaa wigi
Naomba hizi tetesi ziwe za kweli aisee. Watumiaji wote anzeni kufanya mazoezi ya kuwa natural, maana pengine na vitu vingine vikazuiwa pia.

Maswala unakuta eti Chausiku nae ananywele hadi mgongoni, au Pili anang'aa usoni alafu viwiko kama aliegemea vumbi la mkaa au oil chafu.

Huu mwaka ndio mwisho wa hayo mambo.


MSISEME HAMKUAMBIWA

Analyse
 
Binti.... hiyo wigi uliyotundika hapo kwa kichwa yako ni bei ngapi?
1538392633547.png
 
hahahhaaaa.. sikua nimeuona mama. wanaota hao. wanataka tusivae mawig tufanane na babu zetu eeh. ngoja niongeze stock mapema ili ikifika huo mwaka niwe nayo kabisa. bby ujumbe itakua kaupata hapa wa kuongeza mawig
Nakumbuka kauli mbiu yako kuwa mambo ya natural tuachie misitu😀😀😀😀😀
 
waanze na mikorogo, dildos na dawa za kuongeza shape ndo waturudie sisi wa mawig. mtu kajivalia nywele zake wao kinachowauma nini wakati hakimdhuru? watuache tafadhali kuna mengi ya kupiga marufuku sio nywele. ipo siku tutapewa na style za kuweka kichwani kama hawataki mawig
 
Naomba hizi tetesi ziwe za kweli aisee. Watumiaji wote anzeni kufanya mazoezi ya kuwa natural, maana pengine na vitu vingine vikazuiwa pia.

Maswala unakuta eti Chausiku nae ananywele hadi mgongoni, au Pili anang'aa usoni alafu viwiko kama aliegemea vumbi la mkaa au oil chafu.

Huu mwaka ndio mwisho wa hayo mambo.


MSISEME HAMKUAMBIWA

Analyse
FALSE!!!!!!
 
Back
Top Bottom