Kashindwa kufungua duka Dar ataweza South? Labda kama kafata sembe tutaelewa
Kama ni kweli umefanya la maana all the best na ufanikiwe ka ni Yale ya kiki ka kawaida ni shiider
Hahahahahaaaa, leo watu mmelivalia hili suala kibwebwe hadi nimeogopa!
Mwenzangu watu washamchoka na uongo wake, alidanganya anamilik nyumba ya mil 400, akadanganya kabeba mimba ya domo kumbe uwongo, juzi katudanganya kwenye radio kaolewa, leo tena anaduka south? Hajatupata bado, akawadanganye uko uko instagram mxiuuu
Washabiki wake wako Bongo lakini anakwenda South Africa kufungua biashara!
Ni vipi ataweza kushindana na wafanyabiashara wazawa ambao hawana big expenses such as accommodation and travel cost?
She just pouring her money down the drainage!
Ahahaha jaman mbona mnamfanyia hvyo mama ubaya
Kama ni kweli umefanya la maana all the best na ufanikiwe ka ni Yale ya kiki ka kawaida ni shiider
Huyu demu mi simuanigi mastoria yake, toka kununua jumba lakifahari 400m + superstar movie + omotola jelaide kaja kuzindua hewa + harusi hewa + umiliki wa viwanja vita3 kigamboni + kwenda states kumbe yuko sinza sina hamu nae aiseeeee!!!!
warumi nilienda kujiunga bando kutokana na folen ndo nimerudi now..Mwanamke anapenda KICK huyu na mambo makubwa, sasa wema na kufungua duka south wapi na wapi? Kama bongo apa ata biashara ya kuuza viatu ilimshinda hlo duka la south ataliwezea wapi? Mxiuuu ovyo kabisa
Huyu demu mi simuanigi mastoria yake, toka kununua jumba lakifahari 400m + superstar movie + omotola jelaide kaja kuzindua hewa + harusi hewa + umiliki wa viwanja vita3 kigamboni + kwenda states kumbe yuko sinza sina hamu nae aiseeeee!!!!