Tetesi: Wema Sepetu afungua duka la vipodozi South Africa

Tetesi: Wema Sepetu afungua duka la vipodozi South Africa

sio haaminiki watu huwa wanatunga uongo sana juu ya wasanii na kuvipost, interviews za wema hajasema ameolewa

Iv unajielewa wewe? Wakat alihojiwa na gossip cop wa clouds akakiri kabisa kuwa kaolewa na hatak mume wake hajulikane, kwa hyo ata ile nyumba ya mil 400 nayo shigongo ndo aliyesema au? Ebu acha kushabikia ujinga apa mxiuuu
 
kwa hiyo na hili kasingiziwa?

Na ile nyumba ya mil mia nne nani aliyesema? Magazeti au? Pia alihojiwa na sudy brown akakir kabisa kaolewa,yani muongo balaa, hadi kubeba mimba ya diamond alidanganya yani wema atakuwa mchawi huyu jaman khaa, kwa tabia hii kwa kweli hawez kuolewa maisha
 
Mi nahisi anatafta tu kiki aisee angekua ametulia na kutumia umaarufu wake vizuri sa ivi angekua milionare. Sema ndo hvo akili ya kufanya biashara hana. Siku umaarufu ukimuisha ndo atapata akili.
Hyo ya omotola Mara filamu ndoa ndo alini chosha hlo duka kwanini asingefungua bongo.

Akumbuke kuna mtu alikuwa maarufu ka sintah manongi?... Lakini sasa hivi yuko wapi zaid ya kuwa kuwadi na housegirl wa mnyankole pamoja na elimu yake! Time will tell a tale. Asubiri tu.
 
Akumbuke kuna mtu alikuwa maarufu ka sintah manongi?... Lakini sasa hivi yuko wapi zaid ya kuwa kuwadi na housegirl wa mnyankole pamoja na elimu yake! Time will tell a tale. Asubiri tu.

Kweli kabisa umaarufu nao unaishaga tu. Sintah alikuaga habari ya mjini tena kila corner ya nchi na kipindi hicho mitandao haikua ka sa ivi.
Mda anaoupoteza atàkuja ujutia afanye kitu kwenye maisha yake sa ivi.
 
Hivi hzo filamu anazo record mbona huwa hatuzioni. Aendelee kujipa matumaini mda wake ukipita itakua ka Nora kuonyesha magazeti.

Na wasiwasi na hiyo D.A.D yake na Van vicker sjui ka kuna muvi pale!...zile zilikuwa sio stress kweli za domo akaona akarushe roho na Van?... Leo yenyewe kwenye in my shuzii yake mpya naona anaonesha beyond the scene eti ana muvi mpya sjui inaitwa mchungu whatever!..simuamin hata robo...
 
Tatizo anajifanya maarufu, anajiona dunia nzima inamjua , halafu kingine ni muongo kupindukia
warumi hivi unakumbuka one in among other of her in my shoes episodes, analia eti cjui alimpa 5m petit man kapoteza wema kapanic mara martin katwangana na petit, kumbe urongooo..reality bongo!
 
Last edited by a moderator:
Na wasiwasi na hiyo D.A.D yake na Van vicker sjui ka kuna muvi pale!...zile zilikuwa sio stress kweli za domo akaona akarushe roho na Van?... Leo yenyewe kwenye in my shuzii yake mpya naona anaonesha beyond the scene eti ana muvi mpya sjui inaitwa mchungu whatever!..simuamin hata robo...

Ahahahah mchungu? Ile movie ni ya JB inaitwa chungu cha tatu, nashangaa jana mijitu kule insta ilikuwa inagombana eti wanasema movie ya wema mxiuuu yan mijitu ina ushabiki mavi kwel
 
warumi hivi unakumbuka one in among other of her in my shoes episodes, analia eti cjui alimpa 5m petit man kapoteza wema kapanic mara martin katwangana na petit, kumbe urongooo..reality bongo!

Usiniambie? Si ndo alikuwa amenyoa mpara wake? Loh, kwa hyo walikuwa wanaigiza? Mmh kazi wanayo, mama ubya yupo fake sana yule
 
Last edited by a moderator:
Hivi Watanzania huwa wanafanya filamu?
 
Ila wema kiki haipo inazidi kufifia maana hata mange pia kamzidi katika watembeleai uzi zake. Ooh
 
Tatizo huyu Mtoto hao mashabiki wake wanamdanganya...bado anajiona mtoto wakati umri unaenda.
 
Back
Top Bottom