Wamenifurahisha sana binamu, nimeshawaunga kwenye group la umbea kwakweli.
Huyo mwandishi ni team wema tu maana anavyomsifia, eti yuko busy akirekodi filamu zake, filamu gani? Halafu hao mashabik zake wanamshobokea insta tu, jana filamu aliyocheza imetoka ata haina kick madukan, yan kwenye filamu apumzike tu aendelee kuza papuchi tu
Hivi hzo filamu anazo record mbona huwa hatuzioni. Aendelee kujipa matumaini mda wake ukipita itakua ka Nora kuonyesha magazeti.
Huyo mwandishi ni team wema tu maana anavyomsifia, eti yuko busy akirekodi filamu zake, filamu gani? Halafu hao mashabik zake wanamshobokea insta tu, jana filamu aliyocheza imetoka ata haina kick madukan, yan kwenye filamu apumzike tu aendelee kuza papuchi tu
Hivi hzo filamu anazo record mbona huwa hatuzioni. Aendelee kujipa matumaini mda wake ukipita itakua ka Nora kuonyesha magazeti.
Mmmmmmmmmh
Leo no komenti
Boss ..babu yako lazima atolee tamko hili swala!
Babu siku hizi anatapa tapa kutafuta kiki halafu mmemchunia...wabaya nyie
zinaishiaga hewani,ile ya superstar alisema eti muhindi hakufika dau,yeye alitumia million 68 na muhindi akataka kununua kwa bei ndogo.ndio maana haikutoka,!
Mi anachonikera mama ubaya uzuri anao lakini hajijui kama mzuri
Kama ni kweli ni wazi uwezo wake wakufikiri ni mdogo sana!
Bila kukuna kichwa ni wazi hilo duka lingemlipa zaidi tena ange uza kwa jina lake na ange tengeneza faida zaidi!
MIlion 68 kwa kip? Mxiuuu muongo mkubwa huyo
Yani ni wa kumuonea huruma tu