Tetesi za Majjizo kuzaa na Salma Msangi

Tetesi za Majjizo kuzaa na Salma Msangi

Si unajua tena...

Wanaume wanadatishwa na ile rangi, otherwise ni wa kawaida tu...

Ila ana milonjo mizuri...

Btw hivi Wolper naye mzuri/mlimbwende eenh?
Lulu hamfikii hata Wolper kwa uzuri. Uwoya ndo namuonaga mrembo wa miaka yote
 
Hahahahaha.... nyie si mnajifanya ma church girl,unakuja home kwangu na tenzi za rohoni
Hawa makarmatiki hawa Mungu anawaona!

Ninarafiki yangu akikusimulia utaishia kucheka tu na ni mtu mwenye mjeda! Hahahaaaa
 
Back
Top Bottom