Tetesi za Majjizo kuzaa na Salma Msangi

Tetesi za Majjizo kuzaa na Salma Msangi

Kana akili kale kachaga. Kangeingia mfumo wa baby mama sasa hivi angekua analia na roho yake.
Japo wanasema sio kweli kuhusu hilo.
Salma kazaa na mwanaume aliezaa nae mtoto wa pili
Hivi salma sio mke wa mtu? Kama nakumbuka aliolewaga[emoji848]
 
Yule mtoto hata akili ya kuwaza maisha hana!kajibweteka tu ngeeeeee!anashindwa hata kuzaa pipi!akiachwa atawehuka yuleee!!!
Maskini ya Mungu. Kalikua kamejiachia kanajiona mke tayari.
Maana nimeshangaa mume wangu zimekua nyingi kwenye interview zake. Sijui itakuaje akiachika jamani asije kuwa na mascandal tena kama Tessy
 
Hivi hapa mnaangalia uzuri wa sura shape au uzuri wa maufundi kitandani? Kama ni kitandani demu wangu ni mkali kuwazidi wote japo anasura kama lemi ongara
 
Hivi hapa mnaangalia uzuri wa sura shape au uzuri wa maufundi kitandani? Kama ni kitandani demu wangu ni mkali kuwazidi wote japo anasura kama lemi ongara
Kabila gani Ilo pangaboyi,? au pipi ya kusini, (Bella Mpanda), makung'wi wamefanya kazi ya ziada.
 
Hakuna cha south wala wapi wanaangalia unaendaje, wana njaa hao Mobetto nyuma milioni anataka na mbele laki tano
Mkuu hebu nifanyie namba yake asee. Ana ‘Kichura’ kizuri kweli kutifuliwa.
 
Mkuu dau la uwoya kama unapesa ya mshahara hata iwe milioni 7 humuwezi. Yule sasa anagongwa na pedeshee wakubwa kupitiliza.
Wanamlipia apartments masaki magari makali, pesa ya maana kwenye biashara zake
Ana mpambe wake mmoja anaitwa Mariam labda ndio atakupa kwa dau la wananchi
 
Back
Top Bottom