Rwankomezi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 3,285
- 2,636
Sio bahati na uzuri tu pia wawe watamu, unakuta demu lizuri kama lulu lakn sio fundi kitandani au lipo kama yule wa gwajiboy
Hahahaa sawa mkuu nimeshaelewa kikubwaaOn a serious note,sidhani kama wako wengi wanaomfikia kwenye hilo eneo,I mean it.usiniulize nimejuaje tena
Owkey, nilidhani watoto wawili wa kwanza walikuwa wa mume wake. Aendelee kuzaa amkomeshe aliyemuacha
Wakijibu unishtue...
Lulu hamfikii hata Wolper kwa uzuri. Uwoya ndo namuonaga mrembo wa miaka yote
Chotara yule,Mambo ya BK hayo siku ya gulio KatereroAfu watu wamekazana kuwaponda wachaga humu..hahahaha
Hahaha muoneSiyo lazima wote tuwe wambea, umbea tuwaachie warumi na Hance Mtanashati.
Kuna sehemu nimeona umenipa like ila post iko invalid.Hahaha muone
Unatakiwa ujue ni jukwaa gani ulilokuwepo hauna ruhusa nalo nikakupa like mfyuu moderator my footKuna sehemu nimeona umenipa like post iko invalid.
Hivi wewe ni moderator?
Unatakiwa ujue ni jukwaa gani ulilokuwepi hauna ruhusa nalo nikakupa like mfyuu moderator my foot
Kumbe kule una I'd yako maalum eenh ebu niambie ipi hiyo[emoji28] [emoji28] [emoji28] Oooh kumbe ni kule. Sasa acha nije nikupe like kimya kimya kwa gari nyingine.
Kumbe kule una I'd yako maalum eenh ebu niambie ipi hiyo
Hawa makarmatiki hawa Mungu anawaona!Hahahahaha.... nyie si mnajifanya ma church girl,unakuja home kwangu na tenzi za rohoni
Mh mbona sijawahi iona hiiFarasi wa Nyikani.
Hapana,mbona nakuambiaga mara zote. Natakaga likubwa kubwa kama weweSi mnapenda vidogo dogo nyie
Mbona ipo tele.Mh mbona sijawahi iona hii
Mkuu dau la uwoya kama unapesa ya mshahara hata iwe milioni 7 humuwezi. Yule sasa anagongwa na pedeshee wakubwa kupitiliza.Tajeni na madau yao wakuu....
Maana wote mnaonyesha tayari mshatupiamo
Si unajua tena...
Wanaume wanadatishwa na ile rangi, otherwise ni wa kawaida tu...
Ila ana milonjo mizuri...
Btw hivi Wolper naye mzuri/mlimbwende eenh?
Hapana,mbona nakuambiaga mara zote. Natakaga likubwa kubwa kama wewe
Kwa ndani ama?Anamzidi uwoya!!?? Usiombe ile Toto Irene ni balaa akikuamulia?