Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
waliofaulu 54% kati yao ni 5% tu ya muslim waliofaulu.....
Kama haukusoma usitegemee miujiza ya Mwaisapile hapa jamvini. Msiba na matokeo wapi na wapi........<br />By mgt software<br />
yatatoka saa kumi jioni subiri kama ulipanda mchicha usitegemee mbuyu
<br />
Hili swala la kuweka na Muda ni hatari sana!!<br />
Kuna mtoto hapa mtaani kwetu juzi aliambiwa na wenzake kuwa majibu yametoka; kilichotokea alidondoka na kupoteza fahamu na alipofikishwa hospitali aligundulika kuwa ana tatizo la PRESSURE ya kushuka. Lakini hana historia ya ugonjwa huo. <br />
Inelekea matokeo haya yanaweza yakatoka na 'misiba' pia!!!
Sasa kibosho nayo shule ya kusema iingie top ten....we kunya tu
waliofaulu 54% kati yao ni 5% tu ya muslim waliofaulu.....
we jamaaa acha kutuzingua watahiniwa wa 2013 watafanya mtihani october mwaka huu... kama vip fanya marekebisho ya kauli yakoWatahiniwa Kaeni mkao wa kula sasa hivi necta wanayarusha mtandaoni
Mbulula huyo. Facebook thinker
Mfumo kristo unatuonea waislaam....wenye majina ya kikristo wanafaulu na sisi wenye majina ya kiislaam tunafelishwa.
Watahiniwa Kaeni mkao wa kula sasa hivi necta wanayarusha mtandaoni
Haya hapa.
Ninachouliza ni kwa vipi NECTA imeyaweka matokeo wazi kiasi cha kwamba watu wameweza hata kuyaleta hapa tangu asubuhi, lakini cha kushangaza kwenye mtandao wa NECTA hayapo? Ambacho hujaelewa wewe ni kipi?