Aziz Ituka
Member
- Feb 9, 2013
- 32
- 2
kitu kinatoka jtatu
Nyie makinda wa O-level jukwaa hili sio saizi yenu,hamjapata hata mwelekeo wa maisha yenu mnakomaa na Jf usiku kucha.
Ndiyo maana mnaboronga hata ktk mitihani yenu.looh yaani O-level unashupaza shingo yako kwenye jukwaa la G'thinker,
nyambafu
Someni acheni upuuzi
Nyie makinda wa O-level jukwaa hili sio saizi yenu,hamjapata hata mwelekeo wa maisha yenu mnakomaa na Jf usiku kucha.
Ndiyo maana mnaboronga hata ktk mitihani yenu.looh yaani O-level unashupaza shingo yako kwenye jukwaa la G'thinker,
nyambafu
Someni acheni upuuzi
Hujasikia? Duhh.
Kazi yao kubwa ilikuwa kuchakachuwa matokeo ya wanafunzi wa Kiislaam waonekane wamefeli.
Acha mawazo mgando
Kujisifu kwing weka tokeo lako hapa
Mimi nilijua great thinker ndio anaongea vitu vya msingi kumbe pumba tu.pole sana bro ila nawe ulipita huko kwa makinda.
Hujasikia? Duhh.
Kazi yao kubwa ilikuwa kuchakachuwa matokeo ya wanafunzi wa Kiislaam waonekane wamefeli.
ficha upumbavu wako ww
Shortly niko UDSM 3rd year na nina GPA ya 4.2 kwa sasa,A-level nimesomea pale Milambo High School ilyopo Tabora na nikapata Division 2 ya 10.
Nadhani umenipata.
NECTA toka wastukiwe upendeleo wao imezuwa mzozo mkubwa mule ndani. Kuna madudu mengi sana inabidi yasafishwe na yafichwe, la sivyo wanaojidhania kuwa ndiyo wenye haki pekee ya nchi hii wataumbuka vibaya sana.
serikali kwa hili la matokeo mnatutia aibu mnatoa lini matokeo
ficha upumbavu wako ww
Ndugu zangu si kawaida ya serikali kuchelewesha matokeo kiasi hiki inampango gani na huyu mtoto alie hitimu kidato cha nne toka mwaka jana october. hajafanya lolote la maana amekaa akisubiri matokeo ni kwanini acheleweshewe kiasi hiki?