Itakuwa vyema na hakiBoss wa wale jamaa wa PGO anaenda kupata red card.
Mzanzibari aliyepata ukamishina hivi karibuni anachukua viatu vyake
Mpare mwenzangu naye hana siku nyingi.
Mama kaamua kusafisha masalia ya Mwendazake hakika anaupiga mwingi sana.
Boss wa wale jamaa wa PGO anaenda kupata red card.
Mzanzibari aliyepata ukamishina hivi karibuni anachukua viatu vyake
Mpare mwenzangu naye hana siku nyingi.
Mama kaamua kusafisha masalia ya Mwendazake hakika anaupiga mwingi sana.
Kamishna wa Polisi Znz Kamishna Awadh sio Mzanzibar ni mtu wa Singida na kabila moja na Tundu Lissu
'samaki huoza kuanzia kichwani..' - wahengaBoss wa wale jamaa wa PGO anaenda kupata red card.
Mzanzibari aliyepata ukamishina hivi karibuni anachukua viatu vyake
Mpare mwenzangu naye hana siku nyingi.
Mama kaamua kusafisha masalia ya Mwendazake hakika anaupiga mwingi sana.
Tunguri TimeBoss wa wale jamaa wa PGO anaenda kupata red card.
Mzanzibari aliyepata ukamishina hivi karibuni anachukua viatu vyake
Mpare mwenzangu naye hana siku nyingi.
Mama kaamua kusafisha masalia ya Mwendazake hakika anaupiga mwingi sana.
Mzanzibar kupewa madaraka makubwa tanganyika hii imekaaje
Unadhani angekuwa na uhakika wa kuchomoka chadema wangelia mwenyekiti wao kurushiwa taulo? Si wangeacha mahakama itende haki? Shukuruni Mungu kwamba amerushiwa taulo.Walimhakikishia ushahidi wa kutosha upo na Mbowe sasa hivi hachomoki.
Boss wa wale jamaa wa PGO anaenda kupata red card.
Mzanzibari aliyepata ukamishina hivi karibuni anachukua viatu vyake
Mpare mwenzangu naye hana siku nyingi aanze kupiga jeramba siku ipo karibuni.
Mama kaamua kusafisha masalia ya Mwendazake hakika anaupiga mwingi sana.
Makerubi wa mwendazake ni mazombie kama tu Makerubi wa Mfalme ZumaridiWalimhakikishia ushahidi wa kutosha upo na Mbowe sasa hivi hachomoki.