Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
DuhDua la kuku..
Mungu Sio athumani..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhDua la kuku..
Mungu Sio athumani..
Hapana. Huanzia tumboni'samaki huoza kuanzia kichwani..' - wahenga
LE MUTUZ
Walimhakikishia ushahidi wa kutosha upo na Mbowe sasa hivi hachomoki.
Nimekuita mara tatu bossSasa mpare Ana Shida Gani? Mteuzi Ndio ana Shida zake, apangue Hata Leo, Watu Wako Imara
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa yy Kwa Nn asingejiridhisha kabla hajaenda Kuongea Huko Bibisii?Uliona ile clip ya huyo boss wa PGO akifanyiwa "zindiko kali" na waganga mahiri wa Gambosh pale Kilwa Road akiwa na Mwendazake? Sasa hizo tunguri zimeyeyuka au?
Halafu alimdanganya mama, maskini, akamwamini. Akamhakikishia kwamba ushahidi mzito wa ugaidi wa Mbowe upo na mmoja wa magaidi keshafungwa. Mama akatamka hivyo akihojiwa na BBC. Ningekuwa mimi nina hicho cheo cha Mama, ningeagiza aunganishwe kwenye hiyo issue ya Mtwara maana alitoa ripoti feki
DG TISS
We nawe ni mkubwa lakini zezeta,,yule KAMISHINA Awadh Ni mrangi sio mzanzibarBoss wa wale jamaa wa PGO anaenda kupata red card.
Mzanzibari aliyepata ukamishina hivi karibuni anachukua viatu vyake
Mpare mwenzangu naye hana siku nyingi aanze kupiga jeramba siku yake ipo karibuni.
Mama kaamua kusafisha masalia ya Mwendazake hakika anaupiga mwingi sana.
We kweli kiazi kwan Mbowe kaachiwa sababu hana kesi au kaachiwa sababuJamaa alituhadaa kwamba anao ushahidi wa kumfunga Mbowe gunia kama "salasini" na zaidi.Ulipofika muda wa kutoa ushahidi,mashahidi wakawa wanashikwa na kiu kama bata wajane.😂😂😂😂😂
Hahaha eti alimdanganya mama ambaye aliona raha kujiachia kwa kikeke😊😊😊Uliona ile clip ya huyo boss wa PGO akifanyiwa "zindiko kali" na waganga mahiri wa Gambosh pale Kilwa Road akiwa na Mwendazake? Sasa hizo tunguri zimeyeyuka au?
Halafu alimdanganya mama, maskini, akamwamini. Akamhakikishia kwamba ushahidi mzito wa ugaidi wa Mbowe upo na mmoja wa magaidi keshafungwa. Mama akatamka hivyo akihojiwa na BBC. Ningekuwa mimi nina hicho cheo cha Mama, ningeagiza aunganishwe kwenye hiyo issue ya Mtwara maana alitoa ripoti feki
Hahaha yani au basi tuMimi naona wakuu wote wa vyombo vya usalama vilivyo chini ya wizara ya mambo ya ndani pamoja na Usalama wa Taifa watolewe na badala yake wawekwe wanajeshi wenye vyeo vya Brigedia Jenerali au Meja Jenerali kama Magufuli alivyofanya Magereza! Na DG TISS atokee kwenye kitengo cha Military Intelligence!
Bumunda bichi weye!Alihukumiwa kwenye hiyo kesi?Acha kukaza shingo na kubisha kwa kutumia kiuno.We kweli kiazi kwan Mbowe kaachiwa sababu hana kesi au kaachiwa sababu
Hahaha eti alimdanganya mama ambaye aliona raha kujiachia kwa kikeke😊😊😊
Nchi Hii Ni Ngumu, Hata wakitoka Wapi Bado ni Hekaheka Tu maana anaekuja anakuja na Watu wakeMimi naona wakuu wote wa vyombo vya usalama vilivyo chini ya wizara ya mambo ya ndani pamoja na Usalama wa Taifa watolewe na badala yake wawekwe wanajeshi wenye vyeo vya Brigedia Jenerali au Meja Jenerali kama Magufuli alivyofanya Magereza! Na DG TISS atokee kwenye kitengo cha Military Intelligence!