ChanjoSugu
Member
- Oct 22, 2021
- 14
- 33
alikua na gunia la ushahidiWalimhakikishia ushahidi wa kutosha upo na Mbowe sasa hivi hachomoki.
Lakini si anaitwa Awadhi na Hawa Akina Awadhi Ndio Wenyewe kwa Sasa.Kamishna Awadh ni Mrangi wa Kondoa sasa Singida na Kondoa wapi na wapi Mkuu
itakua yule wa TAKUKURUKamishna wa Polisi Znz Kamishna Awadh sio Mzanzibar ni mtu wa Singida na kabila moja na Tundu Lissu
Sasa anatema mate hovyo kama mchezaji aliye na kiu uwanjani
PGO ndio niniBoss wa wale jamaa wa PGO anaenda kupata red card.
Mzanzibari aliyepata ukamishina hivi karibuni anachukua viatu vyake
Mpare mwenzangu naye hana siku nyingi aanze kupiga jeramba siku yake ipo karibuni.
Mama kaamua kusafisha masalia ya Mwendazake hakika anaupiga mwingi sana.
Imekaa kikatibaMzanzibar kupewa madaraka makubwa tanganyika hii imekaaje
Huyo mpare ni diwani ?Boss wa wale jamaa wa PGO anaenda kupata red card.
Mzanzibari aliyepata ukamishina hivi karibuni anachukua viatu vyake
Mpare mwenzangu naye hana siku nyingi aanze kupiga jeramba siku yake ipo karibuni.
Mama kaamua kusafisha masalia ya Mwendazake hakika anaupiga mwingi sana.
ofkoziHuyo mpare ni diwani ?
vp mkuu mbona imekuuma sana? kunani? mi najua jf ni uwanja ramli banaNi aibu kubwa baba Zima lenye mvi lililo chezea ujana wake uko vibaya na leo linafuraia wenzie kutumbuliwa stupid kwakweli
Mbowe amechomoka kwa maombi ya Shehe Mkuu kwa muumini wake muislamu mwanamke. Ulitarajia akatae?Walimhakikishia ushahidi wa kutosha upo na Mbowe sasa hivi hachomoki.
Angalau JW mkuu wana nidhamu kuliko hayo majeshi mengine! Magereza sasa hivi kidogo kumenyooka japo baadhi ya maafisa waandamizi wa hilo jeshi wanamchukia huyo CGP!Nchi Hii Ni Ngumu, Hata wakitoka Wapi Bado ni Hekaheka Tu maana anaekuja anakuja na Watu wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Polisi na hata TISS kuna watu very smart kuliko ambavyo mnaona na kuliko hata ambao wapo JWTZ .. Na Sijajua unazungumzia nidhamu ipi ambayo JWTZ waliyo nayo ambayo Polisi na TISS hawanaAngalau JW mkuu wana nidhamu kuliko hayo majeshi mengine! Magereza sasa hivi kidogo kumenyooka japo baadhi ya maafisa waandamizi wa hilo jeshi wanamchukia huyo CGP!