Tetesi: Tetesi Za Rais Magufuli kupata tuzo zakimataifa zachafuliwa na team X

Kazi uliotumwa na chama kukisafisha hakuna mtu atakaekuelewa wewe dada. Watu wamemka post hata nyuzi elfu mbili ni sawa na kelele tu.
 
Kuna utapeli mkubwa wa sifa na tuzo zinazotolewa na nchi kubwa kwa viongozi wa mataifa yaliosinyaa. Nia kuwavimbisha vichwa wazidi kuwanyonya.
 
Msaliti unamjua yule anayesigida katiba yetu.
 
Kuna haja ya kuangalia aina ya watu wa kuposti nyuzi za kimkakati..wengine wanaharibu
 
 
Pole kwakukesha kusafisha mavi yanayonuka.

Mchafu hasafishiki.


Labda atapewa tuzo ya kiongozi mjinga kuliko wote duniani hata mi nitaunga mkono.
Lisura lake libaya huna haja ya kujisumbua kuliharibu.
Liroho ndio balaa zaidi.
Duh watu mmepinda kadri siku zinavyokwenda watu wanazidi kumpa vyake.
 
Tukumbuke ya libya jamani atutaki Tz tufike uko.binafsi navutiwa sana na arakati za chama pinzani katika kuikosoa serikali, japo serikali ya jpm inaonakana miongoni mwa wa Tz wengi inapinga vikali arakati za upinzani!tukio la TL kwa Watanzania walio wengi wanaweza kulihusisha na mambo ambayo serikali imekua ikiyafanya kwa upinzani juu ya yote ayo JPM ni raisi ambae mwenye msimamo mkali kwa masilahi ya taifa ambao unapelekea miongoni mwa watanzania wengi kumuona ni DIkteta lkn bila kumbuka juhud zake katika kupigania rasmali za watanzania kuliko viongozi wote wa Tz Waliopita hii uenda ikapelekea Mataifa ya ulaya kuchukizwa na harakati zake na kutafuta mbinu za kuaribu juhudi yake ambayo zingeweza kulibadilsha taifa la Tz swala la madini kama almasi Tanzanite,makinikia,ni swala zito sana ambalo mataifa ya ulaya ya yanajipatia faida kubwa kupitia sisi kwa nini mataifa ayo yasifanye chochote ili indelee kutula sisi WaTanzania !tafakari kabla ya kumnyoshea kidole mtu yoyote yule kwenye swala hili la Tundu lissu
 
Tukumbuke ya libya jamani atutaki Tz tufike uko.binafsi navutiwa sana na arakati za chama pinzani katika kuikosoa serikali, japo serikali ya jpm inaonakana miongoni mwa wa Tz wengi inapinga vikali arakati za upinzani!tukio la TL kwa Watanzania walio wengi wanaweza kulihusisha na mambo ambayo serikali imekua ikiyafanya kwa upinzani juu ya yote ayo JPM ni raisi ambae mwenye msimamo mkali kwa masilahi ya taifa ambao unapelekea miongoni mwa watanzania wengi kumuona ni DIkteta lkn bila kumbuka juhud zake katika kupigania rasmali za watanzania kuliko viongozi wote wa Tz Waliopita hii uenda ikapelekea Mataifa ya ulaya kuchukizwa na harakati zake na kutafuta mbinu za kuaribu juhudi yake ambayo zingeweza kulibadilsha taifa la Tz swala la madini kama almasi Tanzanite,makinikia,ni swala zito sana ambalo mataifa ya ulaya ya yanajipatia faida kubwa kupitia sisi kwa nini mataifa ayo yasifanye chochote ili indelee kutula sisi WaTanzania !tafakari kabla ya kumnyoshea kidole mtu yoyote yule kwenye swala hili la Tundu lissu
 
Kwanini unatumia nguvu nyingi kuwaaminisha watu kile unachokiamini..?? Unatofauti gani na hao "unaowadhania..???"

Naamini kila mtu ni kiumbe huru, chenye ubongo wa kuweza kuchanganua mambo. Acha kuwalazimisha watu wote wafikirie jinsi unavyofikiria.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You're stupid
 
damu ya mtu imetoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…