ZENITH
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 1,035
- 920
Hapana,Kuna vijana barobaro kama Budo!Kumbe simba kuna wazee? Sikujua hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana,Kuna vijana barobaro kama Budo!Kumbe simba kuna wazee? Sikujua hilo
Mimi sina neno, nimeanza kuamini zile tetesi kuwa simba haitofanya sajili yoyote ile!VIONGOZI WA SIMBA NA BENCHI LA UFUNDI WATAKUWA WAMEFANYA KOSA KUBWA SANA WASIPOSAJILI KIUNGO NO 10 WATAKUWA WAMEFANYA KOSA LA KARNE.
HAWATAPATA KOMBE LOLOTE MSIMU HUU.
mkuu hii simba mbona inatosha kwa malengo tuliyonayo:-VIONGOZI WA SIMBA NA BENCHI LA UFUNDI WATAKUWA WAMEFANYA KOSA KUBWA SANA WASIPOSAJILI KIUNGO NO 10 WATAKUWA WAMEFANYA KOSA LA KARNE.
HAWATAPATA KOMBE LOLOTE MSIMU HUU.
tuvute subraMimi sina neno, nimeanza kuamini zile tetesi kuwa simba haitofanya sajili yoyote ile!
Tusubiri dirisha kubwa labda timu yetu haina mapungufu.
Sijui tukikutana na RS BERKANE, ZAMALEK mmh
Hongereni.Yanga wanatambulisha wachezaji 3 usiku wa Leo kuanzia saa 6
Weka bando
Pamoja sana mtaniHongereni.
Safi sana waendelee kujiimarisha. Wenzao huko wamewang'ang'ania washambuliaji wenye mikimbio mizuri Mutale na Mukwala halafu wanatamba eti watachukua kombe la Afrika na ligi kuu.Yanga wanatambulisha wachezaji 3 usiku wa Leo kuanzia saa 6
Weka bando
Tetesi za usajili Huwa haziishiHuu uzi ufungwe sasa, maana muda wa kupiga lamli chonganishi umekwisha.
Simba imejifunza kitu..kwamba hakuna mchezaji mzuri unayeweza kumpata Sirisha dogo..
Halafu Fadlu inavyoonekana mchezaji ni hadi aingie kwenye mgumowake/ wa timu ni lazima aww na timu si chini ya wiki nane. Ndio maana Mpanzu anaingia kwa muda maalumu hadi hapo atakapokuwa na muunganiko.
Ila umeelewa..Sirisha = dirisha
Mgumowake = mfumo wake
Aww = awe
Umekunywa chai kweli wewe? Kama bado basi kunywa hata maji mengi.