Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Anachezea Namba ngapYanga wanakamilisha Usajili wa Jonathan Ikangalombo Raia wa DR Congo, ana umri wa miaka 22 anatokea AS Vita Club
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anachezea Namba ngapYanga wanakamilisha Usajili wa Jonathan Ikangalombo Raia wa DR Congo, ana umri wa miaka 22 anatokea AS Vita Club
WingaAnachezea Namba ngap
Mnasajili ila mmefungiwa na FIFA 😂😂Yanga wanakamilisha Usajili wa Jonathan Ikangalombo Raia wa DR Congo, ana umri wa miaka 22 anatokea AS Vita Club
Hamuachi kulia tuMnasajili ila mmefungiwa na FIFA 😂😂
Afu kagoma mmeachana nae au mmekubali yaishe.
Mtani si unadaiwa wewe,lipa kwanzaaHamuachi kulia tu
Yanga inasajili unabeza, mkija kupigwa 5 mnaanza kumlaumu Mangungu
Tunamsajili nyie mpo mnafatilia madeni, mkija kupigwa 5 mnalaumu GSMMtani si unadaiwa wewe,lipa kwanzaa
Jonathan Ikangalombo ni Mwananchi
Ikangalombo amesaini mkataba wa miaka 2 na miezi 6
Akitoke club ya As Vita na raia wa Congo DR
Atatambulishwa muda wowote
Chuma hicho
Ahsanteeee, dogo aje atukimbizie wazee wa Simba.Winga
Ve bana mutu ya kazi.
BadoJonathan sowah ni mali ya singida black stars tofauti na ulivyoripoti kwamba kagoma kusaing singida.
Kumbe simba kuna wazee? Sikujua hiloAhsanteeee, dogo aje atukimbizie wazee wa Simba.
Sajili zimepoaUzi ziiiiii
Ukiwa mshabiki wa YANGA Kindaki kindaki lazima uwe na faili Milembe Dodomasimba wanahitaji kusajili wafuatao
1.joti kwa ajili ya kuwachekesha wachezaji.
2.wema sepetu aje kuwapa utamu wachezaji.
3.diamond aje kuwafundisha kucheza komasava
4.kingwendu awe kocha msaidizi.