BRN
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 5,188
- 6,633
Nilishawahi kumsikia Fadlu kwenye moja ya mahojiano alisema hivyo.TETESI :
NASIKIA KUNA UWEZEKANO MKUBWA WA SIMBA KUTOSAJILI MCHEZAJI YOYOTE ZAIDI YA MPANZU DIRISHA HILI DOGO.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilishawahi kumsikia Fadlu kwenye moja ya mahojiano alisema hivyo.TETESI :
NASIKIA KUNA UWEZEKANO MKUBWA WA SIMBA KUTOSAJILI MCHEZAJI YOYOTE ZAIDI YA MPANZU DIRISHA HILI DOGO.
SahihiKibu yupo zake marekani, hizi habari wambea kina jemedari, wazikose wakati ndio zinazowapa umaarufu zaid
Kama alisema hivyo basi yeye na Bodi haziwatoshiNilishawahi kumsikia Fadlu kwenye moja ya mahojiano alisema hivyo.
Nilishawahi kumsikia Fadlu kwenye moja ya mahojiano alisema hivyo.
SawaAliropoka tu pia nina mashaka sana na Uwezo wake.
Tactically, Technically skills nk
Fadru ni Mweupe sana.
Niliprove game ya JKT.
Ngoma ndio kama kocha.
Mawinger wa kizawa mbona wapo wengi»Kiungo no 10 wa kigeni;
Simba tunahitaji a complete no 10 mwenye kasi,nguvu na maarifa makubwa ya mpira anayeweza kuitawala midfield.
»Winga mzawa;
Toa karabaka tia winga mwingine.
»Beki wa kati mzawa;
Toa huseni kaze tia beki mwingine.
»Kiungo mzawa;
Toa omari omari tia kiungo mwingine.
Winger sio inshu sana kama no 10 coz kibu,chasambi na mpanzu wanatosha kwa sasa dirisha kubwa ndo tutafanya maboresho.Mawinger wa kizawa mbona wapo wengi
Balua
Chasambi
Kibu
Kalabaka
Tunahitaji Winger wa Kigeni maana tunao wachache na mmoja ni mbovu sana
Mpanzu
Mutale
Fyeka mutale lete winger wa kigeni
Wanaocheza nafasi zipi?, pia wageni wangapi wanapewa thank you?Wachezaji watasajiliwa, si wengi. Ni suala la muda tu .