kipanta the boss
Member
- Dec 15, 2013
- 57
- 85
ALLAN OKELLO TO SIMBA?
uongozi wa simba umefikia makubaliano na management ya mchezaji allan okello kuja simba,
Kinachofata ni kupeleka ofa vipers,
Tuombe Mungu yule Rais wa vipers asijefanya kama alivofanya kwa manzoki.
Mutale anaweza pisha ingizo la allan okello!
uongozi wa simba umefikia makubaliano na management ya mchezaji allan okello kuja simba,
Kinachofata ni kupeleka ofa vipers,
Tuombe Mungu yule Rais wa vipers asijefanya kama alivofanya kwa manzoki.
Mutale anaweza pisha ingizo la allan okello!