Mjusi_kafir
JF-Expert Member
- Dec 4, 2023
- 278
- 477
Kuna watu wamelewa aisee, unakuta mtu anasema simba wamteme karaboue na okejepha ukiwaambia nitajie game aliyocheza vibaya , Chamoue ni ipi hawezi kuipata hata moja.Ila Ahoua mbona mchezaji mzuri sana tu