kipanta the boss
Member
- Dec 15, 2013
- 57
- 85
Nimeishiwa pozi, muda wote huu wapo na mchezaji wameshindwa kufatilia ITC, hii mbona ajabu sana. Huu ni upuuzi wa kiwango cha dunia aseViongozi wa simba hawajapata ITC yake hadi sasa itc yake ipo kwao Congo hadi muda huu.
Uwezekano wa Mpanzu kucheza kesho ni zero 0.