Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😄😄Mkuu Hichelema kwani Simba wameajiriwa kuwa scout wa wachezaji wa Yanga?
Huyu jamaa hakupewa nafasi ya kuonyesha uwezo wake.. Thank you Jean Baleke
Mkuu washauri Simba Omary Omary arudishwe Mashujaa af Simba wamchukue Idrissa Stambuli wa Mashujaa ambaye ni versatile player.
DuuhMashabiki wa Gamond, wajiandae kuhamia Singida Black Stars
Hapo maana yake unavunja mikataba..halafu unanunua wengine..tuambie na Bajeti yako ya usajili ingekuwaje bilioni ngapi?Ningekuwa Kwenye Uongozi wa simba ningefyeka
Wachezaji wafuatao kwenye Dirisha kubwa na Dogo
1. Ayoub Lakred
2. Karaboe Chamoe.
3. Okejepha. (Japo nampenda sana kwa Nidhamu kujituma na uungwana)
4. Ngoma naye namkubari
5. Joshua Mutale.
6. Jean Charles Ohua.
N:B HAYA NI MAONI YANGU BINAFSI.
Wangeanza na Ahua, Mutale, Ojajepha, Ayub, Chamoe kisha Ngoma nzitoNingekuwa Kwenye Uongozi wa simba ningefyeka
Wachezaji wafuatao kwenye Dirisha kubwa na Dogo
1. Ayoub Lakred
2. Karaboe Chamoe.
3. Okejepha. (Japo nampenda sana kwa Nidhamu kujituma na uungwana)
4. Ngoma naye namkubari
5. Joshua Mutale.
6. Jean Charles Ohua.
N:B HAYA NI MAONI YANGU BINAFSI.
tatizo ni pesa ya kuwapa bada ya kuwavunjia mikataba pia kununua mibadala mingine kwa pesa tena kubwaNingekuwa Kwenye Uongozi wa simba ningefyeka
Wachezaji wafuatao kwenye Dirisha kubwa na Dogo
1. Ayoub Lakred
2. Karaboe Chamoe.
3. Okejepha. (Japo nampenda sana kwa Nidhamu kujituma na uungwana)
4. Ngoma naye namkubari
5. Joshua Mutale.
6. Jean Charles Ohua.
N:B HAYA NI MAONI YANGU BINAFSI.
Ndio saed ramovich kafukuzwaKocha kafukuzwa?
Kama huwezi kutoa taarifa zenye usahihi kama Hichilema ni bora utulizane.Ndio saed ramovich kafukuzwa
Wanatuharibia uzi wetu wanakuja kusutana ...yaaani inaboaaaaaKama huwezi kutoa taarifa zenye usahihi kama Hichilema ni bora utulizane.
HakikaHuyu jamaa hakupewa nafasi ya kuonyesha uwezo wake.
BadoNdio saed ramovich kafukuzwa