K11
JF-Expert Member
- Oct 15, 2014
- 3,447
- 11,274
Huyu ni mchezaji huru au anavunjiwa mkataba?KARIM KIMVUZUIDI KUSAJILIWA SIMBA.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni mchezaji huru au anavunjiwa mkataba?KARIM KIMVUZUIDI KUSAJILIWA SIMBA.....
Ni yule wa Orlando Pirates?KARIM KIMVUZUIDI KUSAJILIWA SIMBA.....
We jamaa karabue camoe?Simba wanatakiwa Kuachana na wachezaji wafuatao.
KATI YA DIRISHA DOGO NA DIRISHA KUBWA.
1. Ayoub Lakred.
2. Valentino Nouma.
3. Karabue Chamoe.
4. Fabrice Ngoma.
5.Agustine Okejepha.
_____________________
6.Charles Ohua.
7. Joshua Mutale
NdiyoNi yule wa Orlando Pirates?
Na Medie Kagere kuchukua nafasi ya Jean Baleke😂Bado Erasto Nyoni
Sijui kwa nini Yanga walimwacha huyu mtu!YANGA WANAWINDA SAINI YA JOYCE LOMALISA MUTAMBALA.
Hapana anaenda simba kucheza kwa mkopo orlando pirates ni kama hawako tayari kumuacha kwa sasaHuyu ni mchezaji huru au anavunjiwa mkataba?
Mkuuu Upewe Maua Yako!! Atakama Unadai ni Mtoto Wa kimaskini upo shamba heshima Yako ikufikie.Ndiyo
Hichilema njoo utoe mwongozo.Hichilema Mkuu Vipi hali ya boka naskia atakua nje for long
Asante sana mkuuMkuuu Upewe Maua Yako!! Atakama Unadai ni Mtoto Wa kimaskini upo shamba heshima Yako ikufikie.
Boka bado ni majeruhi ila si ya muda mrefu sana. Inaonekana ana shida ya majeraha ya mara kwa mara. Lengo la kumsajili Israel Mwenda ni kucheza namba 2 na 3 itakapobidiHichilema Mkuu Vipi hali ya boka naskia atakua nje for long
Simba inamfukuzia namba 10 wa kumpa changamoto Ahoua. Mutale yeye Changamoto atapewa na Mpanzu. Golikipa Ayoub Lakred anaondokaHichilema njoo utoe mwongozo.
Wewe ndiye mdau pekee ambaye uko jikoni, hivyo taarifa zako zina ukweli.
Pia usisahau kutujuza usajili unaoendelea hapo Unyamani ili tujue bado tuko na Urojo Ahua na Saido Mutale?
You never know! Labda dishi limetengemaa baada ya kuyumbishwa na upepo kwa muda mrefu.Mkuu yale maneno yako ya sijui uinga mala maradhi sijui wanaofuatilia Simba na yanga ni vichaa ....leo vipi mboni umeingia kwa vichaa tena
Kwa umri wake abaki tu Azam atafune pesa.Oya vita ya feisal tushashindwa..azam wameongeza pesa naskia. Hapo ibaki tu mapenz ya feisal aje tu simba hata kama ameongezewa pesa
Nasikia kuna tetesi za uwezekano wa Mukwala na Okejepha kuondoka, hilo likoje?Simba inamfukuzia namba 10 wa kumpa changamoto Ahoua. Mutale yeye Changamoto atapewa na Mpanzu. Golikipa Ayoub Lakred anaondoka
Lawi huyu huyu wa coastal? Kweli Hersi kachanganyikiwa au huenda team inapitia kipindi kigumu kiuchumi.LAMECK LAWI KUSAINI YANGA.
Hadi sasa badoNasikia kuna tetesi za uwezekano wa Mukwala na Okejepha kuondoka, hilo likoje?