kipanta the boss
Member
- Dec 15, 2013
- 57
- 85
Mmh, yasije kuwa ya mzizeKaizer chiefs wametuma offer ya Tsh 1 billions kumhitaki Ibrahim Bacca
Coach Nabi na Kaze wanahitaji huduma ya kitasa kutoka Yanga
Uongozi wa Yanga wapo wanajadili offer hii na wamesema watatoa jibu siku sio nyingi