permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Huyu ni Dany Serenkuma mpya .Ni Striker raia wa Uganda alikuwa anacheza Asante Kotoko ya Ghana kwa misimu miwili msimu huu ndyo mfungaj Bora wa ligi ya Ghana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni Dany Serenkuma mpya .Ni Striker raia wa Uganda alikuwa anacheza Asante Kotoko ya Ghana kwa misimu miwili msimu huu ndyo mfungaj Bora wa ligi ya Ghana
Mbona Simba ndie kapata kipigo kizito hata zaidi ya hizo timu ulizotaja?Tunaongelea fact siyo hisia bro. Kanuni za FFP na FIFA zinaruhusu kinachofanyika? Kwa nini udhamini wa GSM kwa ligi kuu ulikoma ghafla baada ya Barbara kusimamia kucha? Ushindani upi unaoongelea ? Angalia mechi za Yanga vs Coastal , Prisons na Namungo kabla na baada ya udhamini afu niletee matokeo
Kabisa japo huyu umri wake unashawishiHuyu ni Dany Serenkuma mpya .
MoBoss usajili hapo unyamani unafanywa na nani?.
Tunasikia huku nje kuwa huko ndani kumenoga
Hata viwanjaniSimba in fanbase kubwa mitandaoni taarifa zake zinatrend kutengeneza maokoto kwa magazeti
Naomba kujua jinsi yakoKigoma anajuta kusaini Nguruwe FC!
Mkuu Baleke ameonekana huko..vipiHata viwanjani
Kuna sapraizMkuu Baleke ameonekana huko..vipi
Mwambie Mangungu aondoke hatumtakiThank you Try Again
SawaMwambie Mangungu aondo
Duka lenu mangungo wa msovero na washirika wake lazima tuwafagilie mbali ndani ya simba. Hao ndiyo chanzo cha hivyo vipigo.Mbona Simba ndie kapata kipigo kizito hata zaidi ya hizo timu ulizotaja?
Ulivokula ubwabwa wake.Mwambie Mangungu aondoke hatumtaki
Kwani wewe siku ya uchaguzi mkuu wa Simba hukuka ubwabwa au Manzoki hukumwona?Duka lenu mangungo wa msovero na washirika wake lazima tuwafagilie mbali ndani ya simba. Hao ndiyo chanzo cha hivyo vipigo.
Lakini mkuu siku ya uchaguzi si alimleta manzoki na ubwabwa kutosha?Mwambie Mangungu aondoke hatumtaki